I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Saturday, October 31

MECHI YA KIRAFIKI YA WANAFUNZI WATANZANIA WAISHIO HYD INDIA LEO SAA 5:00PM JIONI.

Mechi hiyo ilifanyika uwanja wa sainkpuri kati ya watanzania
wanaoishi eneo la sainkpuri na wanaoishi eneo la mjini tolichowki/Nampally
leo tarehe 31.10.2009 ambapo hadi mwisho walitoka 1-1
hawa ni baadhi ya wachezaji
wakijiandaa kabla ya kuanza mechi

huyu ni kijana Abdul Aziz kutoka eneo la mjini
akijiandaa kuingia uwanjani

hawa ni baadhi ya watanzania waliokuja
kuangalia mechi uwanja wa sainkpuri

Thursday, October 29

MTU MWENYE MDOMO MKUBWA KULIKO WOTE

HAPA AKIWA ANAWAONESHA WA2 KIPAJI CHAKE......see clip below

Wednesday, October 28

HUWEZI KUAMINI MTU ANAWEZA KUDONDOSHA MACHO YAKE CHINI


NI MWANAMKE WA KIPEKEE
ANAUWEZO WA KUYATOA MACHO YAKE NJE NA KUYARUDISHA
NDANI,C HIVYO 2 ANAWEZA AKAYAACHIA YAKAGUSA PUA,MDOMO
NA HATA KUYADONDOSHA CHINI......ANASEMA NI CONTROL ZAKE ZA BODY..MH CJUIIII....ILA HUU UWEZO KAUPATAJE?INGAWA UNATAKA KUFANANA NA ULE WA KWE2 SUMBAWANGA WA KURUKA NA NYUNGO HEWANI...............

MAMBO YA SUMBAWANGA HATA ULAYA YAPO

HEBU JIONEE MWENYEWE HUYU MCCHANA ANAVYOKATWA
KIUNO...SASA CJUI NDIO KIINI MACHO AU MOYO MACHO

MUONE MWARABU ANAVYOWATAFUNA SCORPIONS

HUWEZI KUAMINI HUYU MWARABU ANAVYOKULA HAWA NNG'E
WAZIMA WAZIMA SASA CJUI NI YALE MAMBO YETU YA SUMBAWAGA AU
NAMSINGIZIA...JIONEE HIYO CLIP ALONE...............

KUMBE SIMBA KWA PIG HATEMI MATE.....

ze comedy na wazee w2

ataka kufa kwa kumshangaa quick chick kwenye swimming pool

Friday, October 23

Congress Stakes Claim To Form Govt In Haryana


Congress Stakes Claim To Form Govt In HaryanaNew Delhi: After receiving the letter of support from independent legislature session, Congress on Friday posted a complaint to the Haryana Governor Jagannath Pahadi to form the next government in the state.

The legislative session, Prahlad Singh, said he would go with the Congress. Six independent had already pledged their support to the training of the next government.

State Congress president Phool Chand Mullane, who lost his election, took the letter from the Party as well as letters of support from the six independent legislators Jagannath Pahadi governor.

Leaving the Raj Bhavan, Mullane said, “We have delivered the letters of the seven independent MLAs to the Governor.”

There are also reports that Congress has also reached an understanding with the MLAs two BSP tactics.

Congress bags 40 seats in the survey of the state Assembly, well below expectations of trust, up to halfway of the 90-member assembly.

Now, with the support of seven MLAs and MLAs of the BSP, the party now claims to have a wafer thin majority in the Assembly.

However, the Congress high command seems uncomfortable with the idea of dispensing this kind and that’s why the party managers are negotiating with the Haryana Janhit Congress (HJC) leader Kuldeep Bishnoi – which has seven MLAs – and his father Bhajan Lal, a former Congress Chief Minister of the State.

But Bishnoi keeps his cards close to his chest, told reporters in New Delhi today, said, “Talks are on. We’re getting calls from Congress and INLD. The situation will only be known by late today, but one thing is clear that our party will form part of the next government. ”

When asked about his opposition to CM Hooda as the next, he said, “My party only goal is to work for development. We are not worried about anyone who takes the chair of the CM”.

Curiously, the State Congress chief Mullane, after meeting with Governor said he has not yet had conversations with Bishnoi.

Here in New Delhi, the party president Sonia Gandhi launched the consultation process for the formation of government in Haryana and Maharashtra.

Sonia met Ahmed Patel and Prithviraj Chauhan (In charge of Haryana) at his residence this morning to chart the way forward. The importance of meeting the gains that have been rumors about a need for change in leadership in both states, particularly in Haryana, due to an average return of the party.

Obviously, Bhupinder Singh Hooda feels pressured to resign, but his holding from now onwards.

Infact was in Delhi yesterday and held consultations with the High Command, but the top brass has not yet clarified whether Hooda will be the party’s election for prime minister.

Suicide Blast In Peshawar,Pakistan

Suicide Blast In Peshawar,PakistanPESHAWAR: A large explosion occurred in a restaurant in the city, leaving 10 people injured, Friday.

The incident took place at Hayat Abad phase two, the elegant district of the city devastated by war.
He threw smoke into the sky like a huge explosion destroyed a luxury neighborhood of Peshawar.

It was not clear until the explosion was a suicide or a pump brushed. Police said the explosive material exploded in a car.

Fierce firing was also reported after the incident.

Police have cordoned off the area. Rescuers arrived and ferried the injured to hospitals. News correspondent said eight to ten people were taken to nearby hospitals.
Hospital authorities said there was not critically injured.

Earlier today, at least seven people were killed and 13 wounded in a suicide attack on a military base in Kamra near the Pakistan Aeronautical Complex (PAC).

The incident occurred about 80 kilometers (50 miles) west of Islamabad

Five Maoists Arrested In Chhattisgarh

Five Maoists Arrested In ChhattisgarhRAIPUR: Five members of the outlawed Communist Party of India-Maoist (CPI-Maoist) were arrested in a village in the volatile area south of Chhattisgarh

Bijapur, the police here on Friday.

The arrests were made Thursday night by a police team led by district superintendent of police, Avinash Mohanty, in the village amid the forests of the jungle, about 500 km from here.

“The five arrested Maoists were actively involved in several major attacks in the district in the recent past, we are desperately seeking,” Mohanty said by telephone.

Police recovered explosives and Maoist literature from them.

Bijapur is a part of the vast region of Bastar. Police say about 1,500 people died in the state since 2004 in Maoist violence, 90% of the casualties were in Bastar, spread over 40,000 square kilometers.

Suicide Attack Near Nuke-Linked Complex In Pakistan, 7 Killed

Suicide Attack Near Nuke-Linked Complex In Pakistan, 7 KilledISLAMABAD: A suicide bomber attacked a checkpoint near a military complex linked to alleged nuclear weapons program in Pakistan on Friday,

Security forces inspect the site of a suicide bombing at the entrance of the Pakistan Aeronautical Complex in Kamra. (Reuters)
More Photos
killing seven people as the army continues a major offensive against the Taliban in the northwest. (Video)

The attack took place near the aeronautical complex at Kamra expansion, about 30 miles (50 km) from the capital, Islamabad, and is sure to raise renewed concerns about the safety of Pakistan’s nuclear program.

Kamra The site is often mentioned by foreign military experts and researchers as a likely place to keep planes that can carry nuclear warheads. The army, which does not reveal where they are stored nuclear weapons, has denied that the facility is linked to the program.

The bomber was apparently on a bicycle and detonated his explosives at a checkpoint on a road leading to the complex, police officer Akbar Abbas said, blaming the Taliban. The seven dead included two security forces, while 13 people were injured.

“The attacker wanted to go. He blew himself up when officials wanted to search his body,” said Police Chief Attock Fakhar Sultan Raja said.

The attack is the latest in a wave of radical violence as Pakistan army carries out its offensive against Islamic militants in northwestern tribal region of South Waziristan. More than 170 people have died in attacks and raids on Western security-related objectives in the past three weeks.

One of the attacks of 22-including a confrontation hours at the headquarters of the army, a shameful violation of security that also raised concerns about their ability to protect the country’s nuclear weapons.

The complex in Kamra or their workers have been monitored at least once before. In December 2007, a car bomb exploded near a bus carrying the children of employees of the Pakistan Air Force, wounding five of them.

Pakistan has always insisted its nuclear program is safe, and has tried to protect it from militant attacks by storing warheads, detonators and missiles in separate facilities patrolled by elite troops.

U.S. Secretary of State, Hillary Clinton recently expressed his confidence in nuclear security in Pakistan, but analysts are divided over how to ensure that weapons are. Some say that guns are less safe than they were five years ago.

Security plans aside, much depends on the Pakistani army and how vulnerable to infiltration by militants, according to some observers. A possible scenario that could jeopardize the program militant supporters would find work as scientists at the premises and passing information to the extremist.

Pakistan is estimated that between 70 and 90 nuclear warheads, according to Hans Kristensen, director of the Nuclear Information Project of the Federation of American Scientists.

Shaun Gregory, a Pakistani security expert at the University of Bradford in Britain, said in a recent interview that the militants have hit near an air base in Sargodha, where nuclear missiles are believed to be stored, and the Wah cantonment , where the missiles could carry nuclear weapons are believed to be assembled.

He said the attacks appear to have been aimed at nuclear weapons, but said there was no evidence of threats to the program.

Pakistan hopes its week-old military offensive in South Waziristan will go a long way toward eliminating the threat of militants on its soil, but residents fleeing the region, reported this week that the insurgents are digging in a fight.

Refugees arriving tired and dusty Thursday in the northwestern city of Dera Ismail Khan, from different parts of South Waziristan, reported heavy shelling by army planes and helicopters, but said they had seen no ground troops.

The militants were believed to control about 1275 miles square (3,300 square kilometers) of territory before the offensive began. The part covering about half of South Waziristan. The army says its troops are advancing steadily and to regain ground in three fronts. But officials have made clear that the campaign will be long and bloody.

The United Nations says 110,000 people have fled to South Waziristan in recent months increased speculation of an army offensive, about 30,000 of them in recent days. Many are staying with relatives or in rented houses in Dera Ismail Khan and nearby suburbs.

The new arrivals said the Taliban were preparing for a fight. “We saw no ground forces on the road, nothing but helicopters and planes. However, we have seen a lot of Taliban movement,” said Jan Awal, a refugee from the town of Sarwakai. “They were hanging around in their cars and digging trenches in the mountains.”

The military has previously moved in South Waziristan three times since 2004. Every time I have suffered many casualties and signed peace agreements that left the rebels with the effective control of the region. Western officials say al Qaeda is now using and neighboring North Waziristan as a base of operations and training.

Thursday, October 22

Amitabh Bachchan in his childhood HUYU NDIE FOLDER YA INDIA

1156797

Amitabh-Bachchan-Childhood

amitabh-bachhan-childhood-photoAmitabh-Bachchan-Childhood

amitabh1Amitabh-Aachchan-Childhood

amitabh1 (1)Amitabh-Bachchan-Sherwood College

bigb1-764504Amitabh-Aachchan

Amitabh-Bachchan

Tuesday, October 20

Situation In Pakistan is Very Serious: India


Situation In Pakistan Very Serious- IndiaNew Delhi: Indian Defense Minister AK Antony said here on Monday that India was ready to face any challenge from the Taliban. “The situation in Pakistan is very serious and terrorism is spreading,” said Antonio, responding to questions from reporters about Pakistan’s action against the Taliban.

He said if there was a specific threat to India, New Delhi, but promised he was ready to face any challenge to the territorial integrity and national security of nowhere. “We will protect our territory and at the same time we will continue our efforts to expand relations with all our neighbors,” he said when asked whether India is prepared to deal with what the questioner called “the threat of China “.

Moreover, Army Chief General Deepak Kapoor said Indian forces a response commensurate to the threat of the Taliban. “We have no doubt that our security forces will respond according to the Taliban every time they try to carry out destructive activities in our country,”

Kapoor was responding to questions from the media after inaugurating a military hospital here. When asked if there was a possibility of spilling over the Taliban in India, said, “whenever there is turbulence in any region, there is always a ripple effect in the neighboring country. That’s something we should all avoid.”

Sunday, October 18

MKUTANO WA WATANZANIA(tsah) WAISHIO HYDERABAD INDIA LEO 18.10.09 HAWA NI WANACHAMA WAKISIKILIZA MKUTANO









Mkutano huu ulifanyika leo tarehe 18.10.09 saa kumi kamili sainipuri,milembe ambapo agenda kubwa zilikuwa ni kupitisha baadhi vipengele katika katiba,kutoa hesabu na takwimu za viongozi waliopita,kukabidhi jumuiya kwenye body ya trastii,kuteua body ya uchaguzi pamoja nakutangaza cku ya uchaguzi.
vipengele vilivyopitishwa ktk katiba ni kuwepo kwa msaidizi wa katibu mkuu na katika wadhifa wa muweka hazina kutakuwa na wahakiki 2 ndani na nje wa ndani atachaguliwa na viongozi na wa nje atachaguliwa na wanajumuia wote kwa hiyo nafasc hii iko wazi kwa wagombea
Ndugu mtanzania fomu za uchaguzi au za kugombea nyadhifa mbalimbali zimeanza kutolewa leo na mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 28mwezi huu na uchaguzi utakuwa tarehe 1 Nov 2009
nafasi zitazogombewa ni; MWENYEKITI,
M/KITI MSAIDIZI,
KATIBU,
KAIMU MWENEZI,
NA MUWEKA HAZINA
FOMU ZA KUGOMBEA ZINAPATIKANA KWA
NDUGU
MATATA,
KAYOMBO,
LILIANI,
KAPESA,
SIMBO,
NA CHIKU

Saturday, October 17

MTOTO NEAR TO ONE YEAR AKUTWA NA MAANDISHI YA QUR AN KTK NGOZI YAKE

i love islem a little baby who don't get yet one year; it's appared on his skin some lkoranic verses and prophetic says... طفل لم يبلغ السنة تظهر على جلده آيات قرآنية و احاديث نبوية


NI WAKATI SASA MI NA WEWE KUJIULIZA 2MEFANYANINI KINACHOMPENDEZA M/MUNGU.KWANI M/MUNGU ALIPOMALIZA KUTUUMBA HAKUMALIZA HAPO HAPO,BALI ALI2AHIDI KUTULETEA UKUMBUSHO JUU YAKE TIME AFTER TIME NDIO MAANA AKA2LETEA MITUME WENGI 2NAOWAJUA NA 2CO WAJUA ILI2CJE2KAMSAHAU NA KUTOFUATA MAFUNDISHO YAKE.
MITUME WENGI HADI SASA WAMESHAPITA LKN PIA BADO M/MUNGU ANATULETEA UKUMBUSHO MWENGINE TUCJE TUKAACHA MAFUNDISHO YAKE KAMA HUYU MTOTO ACEFIKISHA HATA 1 YEAR ANAMAANDISHI YANAYOONESHA KUUPENDA UISLAM.
UKWELI NI KWAMBA HUYU MTOTO HAWEZI KUANDIKA WALA KUSEMA ATAUPENDAJE UISLAM???NI WAZI KWAMBA M/MUNGU MWENYEWE AMETOA HUO MUUJIZA ILI WATU WAMKUMBUKE NA WAUPENDE UISLAM.
MWANABLOG KAZI KWANGU NA KWAKO SWALI KABLA HUJASWALIWA.

PREZ OBAMA NDANI YA MZIKI WA KILATINO

ILIKUWA FIESTA YA KUFA MTU ,OBAMA NA FAMILIA YAKE WOTE WALIJUMUIKA KATIKA KULICHEZA FIESTA LA KILATINO LILILOFANYIKA WHITE HOUSE

Mh.. huyu jamaa kiboko anatibu magonjwa yote unayoyajua?


hiyo ndio dareslam mjini huyu mganga mwenye hili bango anatibu magonjwa yote ulimwenguni.............mh? Dareslam mjini kweli noma.

Friday, October 16

HUYU NDIE M2 ANAEFIKIRIWA KUWAMFUPI KULIKO WOTE DUNIANI





Mtu ambaye anasadikiwa kuwa ni mfupi kuliko mtu mwingine yeyote Duniani ni bwana Pingping wa China, ambaye ana umri wa miaka ishirini na ana urefu wa futi mbili na inchi tano. Kwa sasa bwana Pingping ndiye anayeshikilia tagi la mtu mfupi Duniani. Pichani juu anaonekana akiojiwa na waandishi wa habari Jijini Tokyo, Japan, na katikati akiwa amesimama na mtoto wa umri wa miaka mitatu, na picha ya chini amesimama kwenye sanamu ya aliyekuwa mtu mrefu kuliko wote Duniani.

Thursday, October 15

HUYU NAE ATASTAAFU KABLA YA KUMALIZA UJENZI?????




Huwezi kusimama kando ya hiyo katuni, na kumeza tu ujumbe wake! Nafikiri katuni ni lazima i-“reflect” ujumbe hasa (the medium is the message)! Ni lazima kukosoa kikatuni!Kuna nyumba inajengwa na huku kuta zinabomoka. Kuna mjenzi anaweka paa (JK) kwenye nyumba yenye kuta zilizobomoka. Kuna watu wawili wanaiba matofali: Mmoja ni "Ufisadi". Wa pili ni "Umasikini". Ujenzi sasa miaka 46.Na huyo mtu aliyesimama kando ya nyumba hiyo akisema, “Na huyu pia atasitaafu bila kumaliza ujenzi!”Ndio. Kuna ujumbe wa maana, kama ulivyoshauri, “Lengo la katuni hii, nafikiri ni kutupa wazo la kuhusiana na uhuru wetu, kwamba tumejenga nini na tumehitimisha nini????.Je, katuni hiyo ni “relevant and reliable instrument” ya “kutupa wazo la … tumejenga nini na tumehitimisha nini” tangu uhuru wetu miaka 48 iliyopita? Hapana. Katuni ni "incongruous"!Kuna mengi tuliyo-“jenga” na ku-“hitimisha” kutokana na uhuru wetu wa miaka 48 kuliko hayo machache ambayo huyo “katunisti” amechora na kuyaandika.Bila shaka JK atasitaafu “bila kumaliza ujenzi”! Ndio maana yangu ya kusema kuwa “ujenzi wa taifa ni “a long-term process.”Nitaongozea kwa kusema kuwa“procees” hiyo ni “exponential” na ina-“transcend the office-duration of any incumbent President” wetu na pia uhai wake.Hatuna budi kupambana na ufisadi na umasikini wetu, kama hiyo katuni inavyojaribu kuzungumza, ingawa matatizo ya kutomalizika kwa ujenzi huo ni mengi!Lakini kupambana na hayo mawili yaliyotajwa si “panacea” ya kujikwamua kutokana na hayo yaliyotufunga jelani.Kila mara huwa najiuliuza, “Je, kweli tutauzika umasikini? Ningependa kusikia kutoka kwa wanakijiji!Kuna nchi ambazo zimejengeka kwa karne, na karne, na karne zilizopita! Nyingine toka enzi za ma-Visigoth na ma-Viking; toka enzi za William the Conqueror, toka enzi za George Washington, toka enzi za Bonaparte, na kadhalika. Lakini mpaka leo hii ufisadi na umasikini bado vimejikita katika baadhi ya nchi hizo. Sembuse miaka karibu 50!Najua leo hii Tanzania ina bahati kubwa ya kuweza kuruka karne nyingi za majaribio. Viongozi wetu budi waamuke ili miguu yetu iende pamoja!Mguu wetu mmoja umo katika mazingira ya nchi zilizoendelea – walalaheri wenye maisha “tambarare”; mguu mwingine umejikita katika matope ya mazingira ya maisha ya enzi za wawindaji na wachuma mwituni (foragers) – walalahoi zaidi!

MAJIBU YA HOJA KUHUSU WA AFRICA KUWA NA AKILI KIDOGO.



NI KWELI ETI TUNA MAFUTA MENGI KWENYE UBONGO?
NA.RAITON M.AMBELE

Aahaha basi TONNY umenikumbusha Professor wangu wakati wa somo fulani la Uchumi wakati wa fall spring semester mwaka huu...Darasa lake la kwanza kabisa na wanafunzi alizoa mzozo mkubwa saana darasani na huku akiacha wamarekani weusi wakitishia kumpeleka kwenye management kwa kile alichikiita IQ and intelligence among different ethnics!!Kutoka na research ambazo zimefanywa, sub saharan africa inashika mkia kwenye kuwa na akili ndogo, huku kabila dogo kutoka kaskazini ya Israel wakilamba asilimia 95 na kushika nafasi ya kwanza....Ndipo mzozo kutoka kwa wanafunzi ukaanza huku wakitaka kujua ni sababu zipi zimepelekea waafrica kushika mkia, na yeye professor akaanza kuzimwaga sababu kadhaa ahaha! siwezi kuzitaja adharani ila naweza kuwapa link kadhaa ya research papers...Kijana mmoja kutoka Ethiopia akapinga vikali study hiyo, sasa katika pitia pitia ya research darasani tukakuta ethiopia walikuwa wanakaribia kushika mkia huku wakiambulia asilimia 36, Tanzania tukiwa juu yao!!!Mzozo ulikuwa kubwa saana, robo darasa ikabidi wadrop darasa lake...lakini yeye aliendelea kushika uzi ule ule kuwa kama kuna mtu anapinga study hiyo basi aandike term paper( hizi ni reseach ndogo kwa wanafunzi wa masters) kuhusu IQ, kijana wa ethiopia ilibidi aape kuandika paper kupinga study hiyo, sasa alama alizopata sijuhi ( ahaha)....Ilikuwa vita vuta ni kuvute, je ni kweli waafrika tuna akili ndogo? na je ni kwanini tuna akili ndogo? kuna wakubisha? je akili ndogo inatokana na nini?I have good articles, anayetaka naweza kumpa link, ila mh! sometimes huwa nakubalina kuwa..." NI KWELI WAAFRIKA TUNA AKILI NDOGO"....

Tarehe: 25/11/07 1:12 AM, KapongolaNimefurahishwa na makala hii, naomba hiyo link kwa maarifa zaidi. Email yangu ni kapongola@yahoo.com Tarehe: 25/11/07 2:20 AM, Anonymoushuyo baba naye jinga tu . Hivi anajua hakuna mtu mweupe na mweusi? kuna wengine ni yellow, wenginde dark tan sasa nao akili zao zipo vipi...? asitake nimtukane mimi sasa hivi na nobel yake...Tuemtawaliwa toka tujulikane ulimwenguni huu...Walioletwa mateka mpaka leo uhuru wao ni wa vitabu tu lakini the reality kazi atapewa mzungu lakini black america itachukua muda.Africa walitunyanyasa na kutufanya vijakazi wao...wametupa uhuru ukaja na madeni kila siku...tunalipa madeni yasiyoisha kila siku interest juu...na madeni ya sheria....huyo baba sijui vipi...hiyo nobel basi ameona kila mtu mjinga but him Tarehe: 25/11/07 6:35 AM, Anonymouskaka Mjengwa,kuna hata ushahidi kabisa kuwa mtu mweusi ni mtu mbumbumbu zaidi duniani hata kufikiriDr Samwel Cartwright aliyeishi nchini USA enzi za bishara za utumwa ndiye alikuwa mtaalam wa kwanza kufanya reaserch kwa miaka 21 na kuja na jibu kuwa mweusi IQ yake na ujazo wa ubongo wake ni kidogo kwa asilimia 10 dhidi ya mweupeDr Cartwirgt akaendelea kuwa uwezo wa kufikiri wa mtu mweusi upo kidogo kwa sababu ya mafuta mengi ndani ya ubongo yanayomfanya awe anatoa maamuzi ya ajabu na kuji-behave kusikokuwa kwa ubinadamu ambaye yeye akaita kitaalam kama"DREPOTAMINIA",na akaendelea kuwa ndiyo maana hata mweusi anaweza leo akakataa sehemu nzuri akaenda sehemu mbaya kwa sababu ya uwezo mdogo sana wa kufikiri,yeye akaita hali hii kama"DYSENTIASIS ETHIPOISIS"uchunguzi huu wa Dr Cartright ukaja kuungwa mkono na daktari mwingine baadae aliyefanya nae reaserch yake kwa muda mrefu kuhusu uwezo wa akili ya mzungu na mweusi,huyu si mwingine bali ni dr Morton G,yeye liongeza kuwa IQ ya mweusi ni ndogo sana kiasi kwamba hawana uwezo wa kujua hili lina faida kwa jumuia na hili halinaKwa jinsi ilivyo,na akili zao hasa hawa viongozi wetu wa Kiafrika hata mimi nakubali kuwa sisi waafrika tuna laana na uwezo wetu wa akili sio tu kama umezidiwa na wazungubali kila races hapa dunianiiweje mtu kama Abacha wa Nigeria aibe hela ambazo hata yeye na familia yake tena wanunue kila kitu wanachokitaka hawezi kumaliza labda ka miaka elfu 2000?Iweje Rais kama Campoire wa Bukinafaso aue wenzake kwa sababu tu ya madaraka?iweje Rais wa Kabila wa Congo aingie mkataba na Ublgiji kuwa wao wachukue madini kule Katanga,na in return congo ipate bunduki aina ya SMG kuwadhibiti wasi wa kibanyumulenga kusini mwa nchi hiyo?iweje JK na kaka Karamagi wasaini mkataba mfu wa BUZWAGI,iweje mtu mwenye akili asaini mkataba wa ajabu wa Buhemba ambapo eti mwekezaji atalipa kodi miaka 10 baada ya kuanza kuvuna madini tena kwa asilimia 3?Sasa wazungu wakisema tena kwa ushahidi wa maabara kama sisi tuna akili finyu tena kw amifano anuai kwa nini tunalalama?NI KWELI NA NAKUBALIANA NAO,WAAFRIKA NIKIWEMO MIMI NA WEWE TUNA AKILI FINYU!! Wewe mtz unayesoma nakala hii,,umemfanya nini JK anapoingia mikataba ya ajabu kama vile TZ ni nchi yake binafsi na mwenzake Lowassa?umemfanya nini Mkapa aliponunua ndege ya kifahari sana huku watu hata kwao Mtwara wanakufa kwa njaa?umefanya nini wanafunzi chuo kikuu walipofukuzwa kwa serikali kushindwa kulipa milion 980 kama ada kwa wanafunzi kwa mwaka huku IKULU ikipewa milion 3000 kila mwaka kwa sababu ya matengenezo yasiyokwishaikishinda hata bajeti ya USA congress inayoipa Ikulu yao kwa kazi hiyo?Umefanya nini wewe binafsi kumpinga Mkapa kwa kununua rada yenye thamani ya bilion 40 ikiinda hata mojawapo ya nchi ya kwanza kwa uchuni sasa barani Afrika Libya ambayo rada yao ni nafuu zaidi"Hakuna haja ya kulalamika,ni kweli sisi waafrika hatuna uwezo mzuri wa kufikiriJK anaendelea kuvunja katiba,na wanaomsema wananyanyaswa na serikali bila sisi watz kumkemea,,je ungekuwa ndiye wewe yule mtoto wa Mwamza aliyemuuliza Lowassa swali la msingi la kikatiba hasa kwa nini JK anavunja katiba kwa kumteua mbunge wa Tabora Dr Mseleka kuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza,ungejisikiaje kwa kunyanyaswa na wana usalama kisa tu umeuliza sawali hilo"gumu"kwa wakuu hawa?je hakuna kati yetu watz milion 40 sasa tena wenye elimu si haba wanaweza kuwa wakuu wa mikoa/wilaya bila kuwa wabunge?Ni haki kwa MTZ mmoja kuwa mbunge,Waziri,mjumbe wa kamati ya bunge ndani ya bunge,mwenykiti wa bodi,mwenyekiti wa Tume aliyeteuliwa na Rais,mjumbe wa CCM-NEC,mjumbe wa kamati kuu ya ccm,na mlezi wa chama cha Maskauti tzKwa nini kama tuna akili timamu hatuyapingi haya kama wenzaetu tunavyoona wakipinga kwa kupitia UTAIFA wao?naam ni kweli na tusibishe,sisi hatuna akili!! Tarehe: 25/11/07 4:13 PM, KapongolaSuala la wazungu kuwa na akili kuliko waafrika (weusi) linaweza kua na punje ya ukweli ndani yake. Na mie nimejaribu kujadili hili na baadhi ya watanzania wenzangu na nilichopata kutoka kwa wengi ni ushabiki.Kwangu mimi akili inaweza kutafsiriwa ni uwezo wa kutambua mazingira yanayomzunguka binadamu na kuweza kutumia vitu vinamvyomzunguka kutafuta suluhisho ya matatizo yanayomkabili. Tunaweza kujadili katika hili.Wengi niliowahi kujadili nao waliona hili sio suala la kujadili kwani, linamdhalilisha mtanzania (mweusi) kwa upande mmoja na pia kukinzana na maadili ya dini kwa upande mwingine. Hivyo wengi wao (watu niliofanya nao majadiliano) hawakufikia kutoa sababu kwanini wanafikiri au kuamini vinginevyo.Katika utamaduni wa mtanzania pamoja na aina ya elimu tuliyopata inakua vigumu sana kujadili suala kama hili.Pengine nitoe sababu zangu zinazonifanya nipate punje za ukweli katika maneno ya James Watson. Ukiangali historia, wazungu ndiyo walioanza kuendelea kwa upande wa kurahisisha upatikanaji wa mahitaji muhimu ya binadamu. Wapo watanzania waliotoa sababu kwa hili kwa kusisitiza kua wazungu walikua katika mazingira magumu hivyo iliwapasa kutafuta unafuu. Mie pia nina swali hapa ambalo pengine linaweza kuleta ulinganisho kwa upande wa mtu mweusi. Tangu lini mtu mweusi amekua anakabiliwa na matatizo ya kupata mahitaji muhimu ya maisha kama vile chakula, mavazi na malazi? Na pengine unaweza kwenda mbali zaidi, ni lini mtu mweusi alifikiria kuendeleza kile alichonacho kiwe bora zaidi? Hapa nazungumzia ubunifu (innovation). Kwa ulingisho tu, ni vitu vichache sana vimebuniwa na watu weusi ukilinganisha na vile vilivyobuniwa na wazungu (magari, computer, meli, ndege na orodha inaweza kujaa ukurasa huu. Kwa lugha nyepesi, tujaribu kuangalia vitu mtanzania wa kawaida anavitumia kwa siku na kuviweka katika makundi mawili tofauti, moja vilivyobuniwa na wazungu na linguine tulivyobuni watu weusi. Mtu mweusi amekabiliwa na maisha duni (umaskini) kwa karne kadhaa hadi sasa lakini hakuna lolote linalofanyika kuleta suluhisho. Hili nalo linahitaji akili kufikiri kupata suluhisho kwa wakati uliopo kwa kuzingatia ukinzani unaowezekana kuwepo kutoka nje. Ndugu zangu ambao nimewahi kujadiliana nalo hili wanajitetea kua wazungu wameendelea kwa kua walitutawala. Kwa mawazo yangu, ile hali ya kutawaliwa tu ni kielelezo tosha cha kupungukiwa akili ukilinganisha na yule mtu aliyekutawala.Utetezi mwingine unakuja kwa kusema mbona watu weusi wanaweza kufaulu mitihani kuliko wazungu wa darasa moja. Kwangu mie hii sio akili kwani kwa kuangalia tafsiri ya akili. Pia inategemea huo mtihani ulihusu nini kwani mingi ya mitihani tunayofanya inapima jinsi ya kueleza yale tuliyofundishwa. Kwangu mimi akili imejikita sana katika uvumbuzi, hivyo ulinganisho unaweza kuangalia ni vitu gani watu weusi na weupe (wazungu) wamegundua hadi sasa.Majadiliano ya suala hili ni marefu, ila kwa leo ningependa kuishia hapa. Kapongola@yahoo.comDortmund, Germany Tarehe: 25/11/07 5:04 PM, ANALYSTHuu ni wakati wa mtu mweusi kupinga hoja hii kwa vitendo. Siyo kwa kutumia majukwaa ya kisiasa au ya haki za binadamu kama ambavyo tumekuwa tukifanya kwa karibu miaka mia moja sasa. Kwa maoni yangu, haya hapa chini yanawezekana kwa kila nchi. Tukumbuke hoja hupingwa kwa hoja siyo kwa kelele.1. Tubadili sheria ZOTE za kikoloni zinazotufanya tudharau vya kwetu na kuwa watumwa wa uvumbuzi "innovation" ya wengine. Kwa mfano, sioni sababu ya kuzuia wataalamu wa kutengeneza bunduki za kienyeji "gobole" kuwa eti ni kosa la jinai kutengeneza silaha "ammunition". Wataalamu hao waendelezwe, bidhaa zao zithaminiwe ikiwa ni pamoja na madawa. Kama leo amebuni gobole kesho atabuni rada na baada ya muda, wamarekani na maadui zao watanunua silaha kutoka kwetu.2. Bajeti kubwa iwekwe katika tafiti za kisayansi. Kila anayeonekana ana kipaji fulani aendelezwe. Vyuo vya kati viwe vingi zaidi kuliko vyuo vikuu. Historia inaonyesha wavumbuzi wengi wanapikwa kwenye politechnics, siyo vyuo vikuu. Wasomi wa vyuo vikuu wana tafsiri innovation na kuboresha zaidi. Kwa mfano ni rahii zaidi kwa kijana wa veta kubuni toroli mpya kuliko mtu wa chuo kikuu. Tusidharau vyuo vya kati kwa kukariri kuwa tunahitaji wasomi wengi. Wa kazi gani kama hawana jipya?3. Umangimeza "bureaucracy" katika mashirika mbalimbali na idara za serikali utokomezwe. Watu wasirundikiwe madaraka. Hili ni kosa KUBWA MNO! Tunashindwa kutumia vipaji vya watu wengine kwa kuwa tu tumekariri kuwa fulani na fulani wana uwezo huu.Yeye yeye ndiye mbunge, mkuuwa mkoa, afisa nini na nini. Nimesoma maoni ya ANON hapo juu kuhusu hili na amenigusa sana. Nafikiri hivi ni viashiria vya umbumbumbu wa viongozi na wanachi kwa ujumla. Natamani kufanya kampeni ya theory mpya ya mgawanyo wa majukumu barani Afrika.Tuna watu wengi sana badala ya kuwa stepping stones wamekuwa road blocks katika kuleta maendeleo na nadiriki kusema WANAABUDIWA. Kama unabisha kuwa siyo wana abudiwa, inakuwaje watu hao hao, hawana jipya, kila siku utawakuta na tai zao wanapigiwa makofi na kusifiwa njaa, umasikini, ujinga na kila aina ya zahma zinatuandama wao wapo tu! Huku siyo kuabudu sanamu? Kwanini katiba isiseme qualifications za watu kushika majukumu ya kitaifa na kuwapa muda kuonyesha matokeo? Hili linanikera sana, naomba nisiendelee nitaacha hoja ya msingi.4. Tuache unafiki kuhusu dignity ya mtu mweusi. Ni kweli tumeonewa vya kutosha, tumepuuzwa vya kutosha na tumedharauliwa vya kutosha. Sasa lazima tujikomboe. Hoja kama vile UZAWA na kumpa upendeleo maalum mtanzania MWEUSI lazima zikubaliwe na kila mpenda haki. Huku kukaririsha watu ujinga kuona kila kitu critical ni ubaguzi wa rangi ni umbumbumbu. Walioishi ulaya na Marekani wanjua kuwa wasio wazawa wa asili wa nchi husika mpaka leo hawana fursa sawa na wenzao walio wazawa.analystmunge@yahoo.com Tarehe: 26/11/07 12:28 AM, MlalahoiWanakijiji,Nimekuwa nikisoma makala zenu, na zinazidi kunipa mwanga zaidi, makala yako Kapongola inanipa mwasha washa wa kuandika tena, ingawa sikubaliani na mwanakijiji anayejitambulisha kama ANALYST!Waafrika kuwa na akili ndogo haiendani na "gene" genetic inheritance, na wala haina uhusiano wowote na kutawaliwa na wakoloni...Makala ya anonymous aliyemtangulia Kapongola ina maswali ya kujiuliza na mimi nayaona kama yana msingi imara!Narejea kwenye mada yangu kama nilivyoanza kabisa kuchangia mada hii pale mwanzo....hainijii akilini kuhusisha suala la akili ndogo na dini au kutawaliwa na ukoloni...uwa napata wakati mgumu pale darasani professor akianza kuchangia mada za kuzolota kwa uchumi wa mwafrika, huwa natamani nitoke darasani kwa kuona AIBU tupu...Kutawaliwa kwa mkoloni haiwezi kuwa kigezo kama wanasiasa wanavyopanda jukwaani na kuanza kudai! Tujiulize, ni mataifa mangapi ambayo yametawaliwa na sasa yako juu kiuchumi...Nitoe mifano kama Marekani ilishatawaliwa na kupata uhuru wake 1777 kama sikosei, Hong kong na singapore ni makoloni ya mwingereza mpaka kalne ya 20, sasa wako wapi?Tanzania tumepata uhuru 1961, ni miaka 46, ni umri wa mtu mzima! bado tunasimama mbele za majukwaa, na pengine tunaingia darasani na kuanza kuambiwa wakoloni walidumaza maendeleo yetu!Nenda Economic Forum, WB, IMF or UN simama uanze kuwaambia watu (toa lecture) kuwa Tanzania haipati maendeleo kwasababu ya kutawaliwa na mkoloni, unaulizwa lini wakoloni waliondoka nchini kwako unasema 1961! still bado unasingizia kutoendelea kwasababu ya ukoloni!???Let be serious, 45 yrs!!! mkoloni aliondoka na ardhi, raslimali zoote? does those resources renewable or not?Wanakijiji, miaka 46 ya uhuru bado mtoto anakalia matofali darasani, hospital haina chandarua, ziwa voctoria halijakauka lakini mzalendo wa pale Kashai Bukoba mjini, Nyegezi mwanza, Kahama shinyanga HAWANA MAJI!!!?? KISA? mkoloni aliondoka na maji ya lake victoria!!!!!?Ni bajeti ipi inaelekezwa kwenye miundombinu ya kumwezesha mtanzania apanue akili yake, akili iwe zaidi ya sasa? Je si kumpatia elimu bora, je si kuwekeza katika kumpambana na maradhi? je si kumpatia lishe bora? Je si kumkinga na magonjwa ambayo yaweza kuepukika?Bunge linakaa, mchangiaji anatumia si chini ya dakika 5 kati ya 10 alizopewa kuchangia yeye anatumia muda mwingi kumpongeza mke wa waziri kuanzisha duka, anatumia muda mwingi kuorodhesha wapiga kura waliomchagua kuanzia ngazi ya kijiji hadi mkoani LAKINI ANASAHAHU KUWA MUDA ALIOPEWA SI KUTOA SHUKRANI NI KUCHANGIA MADA MBADALA YA KULETA MAENDELEO! Leo wanakijiji na wasomi wanadiriki kuandika kwenye blog mbalimbali eti tunasingiziwa tukiwambia tuna akili ndogo!!!!!Naweza andika mpaka kesho!!!! Tarehe: 26/11/07 3:16 AM, ANALYSTKwako Mlalahoi,Umesema hukubaliani na mwanakijiji aliyejitambulisha kama ANALYST ila hukusema hukubali nini na kwa nini. Ukinijulisha hukubali nini, nitarejea na kufafanua. Umepinga sana swala la kutawaliwa. Mimi pia silihusishi moja kwa moja na IQ ila nalihusisha MOJA KWA MOJA na magumu yanayotukabili watu weusi duniani haswa wanaoishi barani Afrika. TOFAUTI na Marekani na nchi za Asia zilizowahi kutawaliwa kama sisi waafrika, wao WALIPATA UHURU KAMILI na waka RUHUSIWA kuwa huru. Kimsingi Afrika bado haiko huru, nikiwa na maana ya uhuru wa kiuchumi. Wenzetu wanaelewa wakitupa uhuru huu, baadhi yao watakuwa masikini kama sisi. Huu unyonyaji lazima uendelee ili watu wa magharibi waishi maisha wanayotaka. Sasa hivi duniani kuna kambi mbili tu kubwa WATU WEUSI na WAZUNGU. Utafiti huu wa akili ndogo, haujasema Waasia au Waarabu au wachina, ni BLACK MAN!! Kuzijua kambi hizi soma kitabu cha "The White Man's Burden" weka hiyo title kwenye mtandao wa Amazon kwa kuwa uko US kwa masaa 8 tu utakipata. Ni kweli Wamarekani walitawaliwa,walipopata uhuru wakaanza kutawala wengine na sasa wanatutawala. Soma kitabu cha "The Confession of an Economic Hitman" Wazungu wenzao, yaani Waingereza walio watawala, waliwapa uhuru kamili. Sisi ukoloni mamboleo bado upo mpaka bafuni, wanalosema ndilo tunalotenda. Kabla ya "uhuru" tulikuwa tuna tawaliwa na taifa moja Uingereza. Baada ya uhuru tunatawaliwa na mataifa karibu yote ya magharibi yakiongozwa na Marekani kwa kushirikiana na WB na IMF. Kuna conscipiracy inaendelea lengo lake ni kuendelea kulipora bara la Afrika kiuchumi. Watu wengi hawakubaliani na mimi ninaposema tunahitaji "rethinking the dignity and priviledges of African people in their own land". Ninahitaji "rethinking" miongoni mwa wasomi na wanasiasa kuwe na upendeleo wa wazi kwa mtu mweusi kiuchumi!! Kupewa mikopo, kumilikishwa makampuni, kuuziwa hisa na kupandishwa cheo. Tusikaririshwe kila kitu ni ubaguzi wa rangi, no way!! Lazima Watanzania kwa mfano, tuwe na sera inayofanana na "Affirmative Action" (Marekani) au "Black Empowerement" Afrika kusini. Tuwatafute kina Idd Simba popote walipo watueleze namna ya ku "take risk" kumkomboa mwafrika katika nchi yake. Mkiendelea kuwaogopa Waasia kwa kuwa wanawapa pesa za kufanyia kampeni mtawabinafsishia kila kitu mpaka nchi nzima iwe yao. Mkiendelea kuwaogopa wazungu "wawekezaji" wataendelea kuchota madini na kuacha mashimo. Lazima jitihada za makusudi zichukuliwe kumpendelea mwanchi wa kawaida. Kinyume na hapo umasikini utazidi, watoto wetu watendelea kukalia matofali, kukosa elimu na kushindwa "kufikiri" mwishowe tunaambiwa hatuna IQ ya kutosha. Ukombozi uanzie katika uchumi. Tarehe: 26/11/07 6:05 PM, Jaduong MettyWandugu,Hizi hoja za IQ nimejaribu kuzijibu. Hebu nitembelee hapa:http://mettyz-bongoland-reflections.blogspot.com/2007/10/rtf-white-intellectual-supremacy-no-way.htmlHalafu, nenda na hapa vilevile:http://www.slate.com/id/2178122Kwa kifupi, intelligence ina sehemu kuu mbili: "nature" na "nurture". Ya kwanza ni akili ya kuzaliwa na sehemu ya akili zetu zinatokana na mazingira. Kwa mtazamo wangu, tatizo la waafrika ni mazingira zaidi ya chochote kile. Na mazingira inajumuisha tamaduni, attitude, etc Tarehe: 27/11/07 10:06 PM, AnonymousNapenda kurudi tena kwani hoja za ANALYST zinanitia mashaka kidogo. Napenda kumweleza kua, watu weusi tungefanikiwa kudhihirisha ukubwa wa akili zetu kwa kuwaondoa wakoloni na kuwafanya watupe uhuru kamili. Nashangaa sana watu tunaposema "kama tungepewa uhuru wa kweli tungekua mbali sasa" badala ya kusema "kama tungetafuta uhuru wa kweli sasa tungekua mbali. Watu weusi tunapokuwa na haya mawazo ya kuangalia kwanza tunafanyiwa au tutafanyiwa nini badala ya kuwa na mawazo ya tunafanya nini au tutajifanyia nini tunazidisha nguvu ya hawa wataalamu wanaosema kua akili zetu ni ndogo. Kama si kweli akili zetu sio ndogo, mie naomba tusahau yaliyopita kwa kujua pengine tulikosea na sasa tuangalie ni vitu gani tunaweza kujifanyia au kuvifanya ili tutoke hapa tulipo. Mafanikio katika hili ndiyo lingekua jibu zuri kwa hizo hoja za upungufu wa akili za mtu mweusi.Kapongola Tarehe: 28/11/07 2:59 PM, anonbinafsi kuna maswala yananitatiza sana!1:kwanini nchi tuzazoongoza sisi waafrika ni maskini na hakuna maendeleo?angalia afrika ya kusini kabla ya mzee mandela na baada ya mandela!huduma nzuri na bora za afya,elimu,usafiri,hoteli ni zile zinazotolewa na watu weupe je sisi wa afrika tatizo letu ni nini?nchi zetu zina kila kitu lakini poor!umasikini wetu tunawalalamikia wazungu!rasilimali tukishindwa kuziexploit tunawalalamikia wazungu!tunashindwa kutumia misaada,mikopo tunawalalamikia wazungu!uchu wa madaraka,udikteta,tamaa,ubinafsi,kutojali maslahi ya walio wengi(taifa)mfano kashfa kama za richmond,rada,buzwagi wakati nchi hii ni maskini wa kutupwa je hili nalo tunawalalamikia wazungu?sisi watu weusi lazima tuna matatizo ya kuwa na IQ ndogo na akili fupi/finyu.labda hii ndiyo wameitumia kupima IQ za sisi watu weusi na kuhitimisha kuwa ni ndogo. Tarehe: 2/12/07 12:05 AM, AnonymousMlalahoi mbona haujatoa hizo link hadi sasa? Fanya hivyo tafadhali,Hata hivyo hizi link zifuatazo zinaweza kutoa mwanga kidogo kuhusu mada inayozungumziwahttp://www.lagriffedulion.f2s.comhttp://www.africancrisis.org/ZZZ/ZZZ_News_008429.asphttp://en.wikipedia.org/wiki/Race_and_intelligence

WATANZANIA WALE MAJANI?



Nani mwenye jeuri ya kuishi bila kula chakula dunia hii? Hakuna maisha pasipo chakula. Tunaishi kwa sababu tunakula chakula. Tutaniane kwenye masuala mengine Si ubishi hata matahira huwa wanaokota vyakula kwenye majalala, ingawa huwa haijulikani mara moja nani huwatuma wehu na matahira waende kwenye majalala kuokota chakula wale ili waishi! Tunakula ili tuishi na si kuishi ili tule.

Cha ajabu na kushangaza hapa Tanzania suala la chakula hakuna anayelijali. Ni ”longolongo na kejeli. Ni wimbo tu eti ”uti wa mgongo wa Tanzania ni kilimo”. Ni ubabaishaji tu na porojo nyingi, ni maneno matupu yanayovuma kama debe tupu linapopigwa na upepo.

Siku ya chakula duniani, kitaifa iliadhimishwa Mwanza, wananchi waliadhimisha siku hiyo bila chakula, walishinda na njaa huku wakiburudishwa kwa ngoma!

Athari za kukosa chakula zinalidhalilisha taifa letu mpaka wenzetu nchi zilizoendelea ”wanatushangaa sana” na kutuhurumia, hivi kichwani sisi hamnazo? Fyuzi za kichwani zimefyatuka? zimechomolewa? Tuna ardhi kubwa yenye rutuba, chochote ukipandacho kinaota na kukua, tatizo? Viongozi wetu ni wazembe? Wameridhika na maisha ya wale wanaowaongoza? Maswali ni mengi kama kilivyo kichwa cha makala hii..

Wabunge wetu wawabane mawaziri, naam jamii nzima ikemee mtindo uliozuka wa kuwakumbatia wageni wakipata mikopo kwenye mabenki ya ”kibongo” halafu wabongo wanawekewa ”mizengwe” kukopeshwa! Wenye nchi ni kama takataka, wageni ndio ”watu”

Inatia simanzi kwani benki inayomilikiwa na serikali benki ya rasilimali (TIB) haiwakopeshi wakulima! Mabunge wetu juzijuzi wamekuja juu wakiwalalamikia mawaziri bungeni!

Huwezi kuwa taifa kubwa, ukajenga uchumi wako vizuri, ukajipanua teknolojia na kuwa na maendeleo kama unakidharau kilimo. Mbona kila wakati mtu akipatwa njaa huwa analalamika na kutafuta hotel iko wapi ili ale ashibe na akishashiba anakuwa na jeuri ya shibe?

Jamaa mmoja mzungu alikataa kuongea na mimi nilipomkuta akiwa na njaa kali wakati wa mchana akasema ”sasa nina njaa kali siwezi kukusikiliza, njoo baadae nitakuwa nimekula! We!hakuna mwenye jeuri kwenye njaa, awe mzungu awe nani wote ni foleni mbele ya chakula!

Akiwa kama rais wa nchi Mwalimu Julias Nyerere alikuwa ni mfano wa kuigwa, ndio rais wa nchi alikuwa mkulima hodari, ingawa hakuwa mfanyabiashara alikuwa na chakula cha kutosha. Mwalimu alijali sana kilimo watu wake wawe na chakula cha kutosha.

Mwalimu aliwalazimisha watu walime mashamba ya pamoja, kwanza mwenyewe akiwa mfano kijijini kwake Butiama ana mashamba kibao. Haombi mtu chakula hata leo familia yake ina utajiri wa chakula!

Leo hii sisi huwa tunaona fahari sana tunapopungukiwa na chakula na kuanza kutoa visingizio mbalimbali kwamba mvua hazinyeshi kwa utaratibu unaotakiwa! Tunaona fahari kuomba chakula kwenye mataifa mengine, wakati mwingine mvua ikichelewa tunasema ”tuna janga la ukame! Hivi hatuna wataalamu nchi hii? Tunapotegemea mvua tu, tuna mkataba na Mungu kwamba lazima kila mwaka mvuaitanyesha?

Mosi, wataalamu wetu wa kilimo utadhani wanafanya maigizo kwenye kilimo. Mashamba yako vijijini wao wanaishi mijini na hawatoi elimu ya kilimo kwa wananchi vijijini. Wananchi vijijini hawapati elimu ya kilimo, tembea vijijini ujionee..

Pili wataalamu wetu wa kilimo waliosomeshwa na serikali wengi wao wanafanya kazi kwenye sekat binafsi, wameajiriwa na makampuni kama ATTT. Serikali imejiingiza mkenge yenyewe. Naambiwa masilahi serikalini hayatoshi!

Tatu wataalamu wetu wa kilimo waliobakia yumkini hawajawezeshwa (empowered) na serkali kwamba haina bajeti ya uchimbaji wa mabwawa ama wao wataalamu hawa hawana fikra pevu za kuweza kubuni njia rahisi ya kuchimba mabwawa ya kuhifadhi maji ambayo yanaweza kutumika wakati mvua hazinyeshi. Wananchi wakishirikishwa wanaweza. Tunapopata tatizo la ukame mawaziri wetu ndio wanachakarika kutafuta suluhisho! Na visingizio gunia!

Wakati mwingine wananchi wanaishia kuhubiriwa kuwa kuna mvua ya kutengeneza itakuja kutoka nchi fulani.. Hawana mpango, wala hakuna mikakati ya kuwa na bajeti angalau kila tarafa wawe na bwawa lao moja la kuendeshea kilimo cha umwagiliaji..

Mbolea ndio suala gumu kupindukia. Imefikia wakati wabunge wetu kulipigia kelele suala hili bungeni ili serikali ipunguze bei ya mbolea ili wakulima waweze kumudu kununua lakini wapi, hasikilizwi mtu! Mbunge wa Nzega CCM Lucas Seleli ni mfano wa kuigwa, alilipigia kelele sana suala la bei ya mbolea serikali iingilie kati kupunguza ushuru wa mbolea na kuwabana ”maghabachori” yanayowanyonya wananchi, nani anajali kila mtu ”anajiju” kivyake, hii ndio ”bongo dar es salaam”!

Maskini wa Mungu wanavijiji wanalima sana kwa jembe la mkono mpaka wanapinda migongo yao, mtu analima heka tano anavuna magunia matatu ya mahindi huku ana familia kubwa anakimaliza chakula kwa muda wa miezi sita tu baadae ankuwa ombaomba!

Pembejeo ziko bei juu sana kiasi ambacho hakuna mikakati ya kuwawezesha wananchi kujipatia pembejeo hizo kwa bei nzuri. Kama ipo mikakati hiyo basi iko kwenye makaratasi na viongozi wahusika wa kilimo wamelewa madaraka, pengine wanangoja watu waanze kufa kwa njaa ndio washtuke, si ndivyo ”wabongo” tulivyo?

Maji wanayokunywa wanajiji ni ya kwenye malambo utadhani nao ni sawa na mbuzi au ngombe hata wanyama wanahitaji kunywa maji safi na salama! Hivi haiwezekani kila kijiji kikawa na visima hata vitatu ama vinne vinavyotoa maji safi na salama? Mbona ugonjwa wa bonde la ufa ulifanyiwa mikakati ya kudhibitiwa sana kuliko suala la chakula.

Hivi hatujui kwamba mtu akinywa maji yasiyo salama anaweza kuugua na kama hapati dawa atakufa tu kama mgonjwa wa bonde la ufa? Hivi hatujui vyanzo vya umaskini uliopita mipaka uliopo kijijini? Kijijini wanahangaikia mlo wa siku moja kwa hiyo hawana muda mwingine wa kujitafutia vipato!

Ni akina nani huko vijijini wanaofahamu juu ya mkakati wa kupunguza umaskini na kuongeza vipato – MKUKUTA? Tena ni wangapi wenye taarifa juu ya mkakati wa kupunguza umaskini binafsi –MKUKUBI?

Kwa mfano kama mama wa nyumbani anayafuata maji umbali mrefu mpaka masaa saba ndio anarudi nyumbani, saa ngapi atampikia mumewe chakula ili waishi? Shime usanii kwenye maswala ya utawala uwe mi marufuku. ”Ushikaji – shikaji” na ujanja ujanja wa kukwepa majukumu ya kuwahudumia wananchi upigwe vita kama ugonjwa wa bonde le ufa! Kama mtu ameshindwa kazi ya kuwatumikia wananchi hata kama amesoma aondoke haraka kabla hajaondolewa, asiwafanye watanzania wakala majani, watanzania sio ngo’mbe, ni binadamu.

MWL.NYERERE na muungano


Wasomi wa tz wasema nchi imekosa mwelekeo(haina dira)..kwa sababu zifuatazo;-


1.Umoja na amani imeanza kutoweka kutokana na wa2 wachache kuendelea kuchota fedha za umma na kuacha pengo kubwa kati ya wenye nacho na waco nacho,hivyo kuatarisha amani ya taifa 2.matatizo mengi yaliyoko tz kama vile ufisadi,migongano ndani ya vyama vya siasa,tatito la vitambulisho zanzibar,ni kutokana na nchi kutokuwa na dira. 3.viongozi wa vyama vya siasa hutumia viongozi wa dini kujitafutia umaarufu na miongozo inayotolewa na dini inachangia kuwatenga watz kuliko kuwaunganisha 4.kutotolewa tamko hadi sasa kwa tatizo la vitambulisho zanzibar kwani hadi sasa Rais yuko kimya ,Haki za binadamu nao wako kimya hali ambayo inaweza kusababisha machafuko kama yaliyotokea mwaka 1995 na 2005 zanzibar 5 kukosa msemaji wa nchi kwa sasa wanasiasa wametenga mamilioni ya fedha kwa ajili ya kampein lkn hkuna m2 wa kuwahoji wamezipata wapi fedha hizo na kwa njia gani watazirudisha?
je ni kweli kwamba nchi ya tz haina msemaji kutokana na matatizo yaliyoko? na je ni kweli nchi haina dira?Nani kweli dini nazo zinachangia kuwatenga wa tz kuliko kuwaunganisha...?
TOA MAONI YAKO.....

Wednesday, October 14

TEN YEARS WITHOUT MWALIMU IN TZ





Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
TEN YEARS WITHOUT MWALIMU
As the country marks the 10th death anniversary of Father of the Nation Julius Kambarage Nyerere, the spotlight is on what the Kikwete administration is doing to keep his political legacy alive, amid mounting challenges.

In assessing President Jakaya Kikwete's performance in his first five-year tenure, which ends with the elections expected in October next year, political analysts and critics have been zeroing in on the fight against corruption, which has emerged as the most daunting task. The other two notable areas are maintaining leadership ethics and fighting poverty.

Inevitably, his leadership is being judged against that of his predecessor, Mr Benjamin Mkapa, from whose tenure he inherited some of the mega corruption scandals that have tainted the image of the highly respected country that Mwalimu Nyerere led from Independence in 1961, until he retired in 1984.

But in comments, which appeared to stridently defend his leadership against recent criticism, President Kikwete said on Monday in Musoma, Mwalimu Nyerere's home region, that his government should, in fact, be lauded for its relentless war against grand corruption (See also separate story).

Addressing members of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM), the President said they should walk around with pride and tell the people the truth. He said that of the four administrations since Independence, his government had done the best in fighting corruption.

"If you are asked during the coming civic election campaigns, don't hesitate to tell them that what has happened in the last four years, as far as war against corruption is concerned, has never happened before," he said.

But commenting on Mwalimu Nyerere's leadership, a respected former Prime Minister, Dr Salim Ahmed Salim, said that one of the key areas that had suffered a major setback in recent years was the grooming of credible future leaders.

Dr Salim, a career diplomat, who served for some time as the secretary general of the African Union and its predecessor, the Organisation of African Unity, said Mwalimu Nyerere had meticulously moulded the entire current leadership, including President Kikwete, to play key roles in the nation.

A respected scholar, Prof Issa Shivji, who is a retired law lecturer at the University of Dar es Salaam and founding head of the Nyerere Research Chair on Pan�African Studies, said though Mwalimu Nyerere was not an angel, he was a great leader. He cited integrity, as one of the strongest personal qualities of the founding President, which was inspirational.
He added: "There are his political practices; some of which need to be assessed and others cannot stand up to criticism."

The executive director of Tanzania Media Women's Association (Tamwa), Ms Ananilea Nkya, told The Citizen by telephone yesterday that declining commitment to upholding leadership ethics was an issue the Kikwete administration must treat, as an emergency to regain public confidence.

"Nowadays people run for leadership positions as opportunity to amass wealth. That is why, for instance, many of the top current leaders are businessmen,"she said.

She also said that during Mwalimu Nyerere's time, and to some extent, President Mkapa's era, there was a clear indication that their administrations cherished leadership ethics.

Ms Nkya accused the current leaders for selfishness and marginalising the majority poor fellow Tanzanians.

"That is why the gap between the poor and the rich has been growing. That is why social services are deteriorating. We can�t boast of building schools in every ward, while the services are poor and quality of education offered wanting," she said.

And addressing a press conference in Dar es Salaam, the national chairman of NCCR-Mageuzi, Mr James Mbatia, also castigated the current leadership, accusing it of diverting the country from the principles set by the founding President.

Mr Mbatia charged that they had betrayed Mwalimu Nyerere, claiming that a decade after his death, the nation had gone astray, having abandoned his principles and philosophy.

"There is a widening gap between the minority and majority poor Tanzanians, which was not there during the Nyerere era," said Mr Mbatia, who has just returned from an overseas study tour.

"This is as a result of the selfishness among the leaders. They don�t think about the majority poor Tanzanians," he said.

He warned that if the people�s dignity was not protected and egalitarianism cherished, they would be forced to find a way out of their problems.

He said: "As we mark 10 years after Nyerere's death, we should ask ourselves what are we celebrating? What should Nyerere be remembered for and how far the country has implemented the legacy."

Mr Mbatia said a national forum should be organised to discuss the widening gap between the poor and rich.

In Musoma, President Kikwete said the Government would not hesitate to take appropriate action against people suspected of engaging in acts of corruption.

"But given the current situation, where good governance is emphasised, we will not embark on arresting people on suspicion. We have to look for concrete evidence before taking anyone to court," he said.

He advised the CCM leaders to campaign for the civic elections confidently, as the Government had done a lot to solve the country's problems.

"We have done many things. We promised and we have delivered and will continue to implement what we have planned in order fulfil our promises. It is true that problems will never end, but it is also true that what was promised has been implemented," he said.

In his interview with The Citizen, Dr Salim, who has lately been occupied with the UN's panel of wise men, described Mwalimu Nyerere as someone who often followed up issues very closely.

"You had to be very well prepared before going to meet him for briefing,"he said.

His strictness aside, Mwalimu Nyerere was a very nice person to work with, Dr Salim said, adding that the late leader was also colour blind and never cared about creed or tribe of those he associated with.

Another Mwalimu legacy, he added, was his vision of the United Republic of Tanzania, "which remains fundamentally different from how many of people today still see the union between Tanganyika and Zanzibar".

Dr Salim added: "Granted, the union was born out of a legal framework, but Mwalimu wanted it to pulsate with the greater spirit of goodwill and mutual understanding that transcended the legalistic bonds. Whether he was right or not, only time will tell."

But on the Union issue, CUF secretary general Seif Sharif Hamad saw Mwalimu Nyerere as wanting, saying there were many things he did not do so well as far as Zanzibar was concerned.

"I feel that he had a tendency of pushing Zanzibar too far. But he did it so tactically that it was not possible to openly see that he was dictating things. There are many issues during the CCM Central Committee meetings, which eventually contributed to our fallout from the party. It was how he treated Zanzibar," he said.

He said that even after retiring, Mwalimu Nyerere was not only advising, as "there is evidence that he was dictating things behind the scenes, some of which were very serious and the people were implementing what he said."

A University of Dar es Salaam lecturer, Dr Azaveli Lwaitama, also castigated the current leadership�s lack of commitment to ethics.

"In the last 10 years, but more so in the last five years, the top crop of CCM leaders has continued to be drawn from the fairly better off business or professional classes than from the low income earning working people.

"This is partly as a result of the relaxation, via the adoption of the 1991 Zanzibar Resolution, of the stringency with which CCM leaders were expected to adhere to the provisions of leadership code of ethics enshrined in the Arusha Declaration," he said.

Today, he added, most CCM regional party chairpersons and National Executive Committee members are drawn from the business or professional classes.

Tuesday, October 13

LIL’ WAYNE CONFIRMS BABY WITH LAUREN LONDON




THE FACTS
Lil’ Wayne confirms he impregnated actress Lauren London.

THE SPIN
Months ago The-Dream confirmed that Lil’ Wayne indeed knocked up his ex-wife, Nivea, but no one ever bothered to confirm whether or not Weezy was the father of Lauren London’s unborn child.

Well the man himself finally did on Big Boy’s syndicated radio show.

When asked about the rumors, the fertile rapper said, “That’s not rumors, that’s a kid, that’s a child, that’s a life. You don’t hide from that.”

Good for him not hiding from the rumors. He definitely hid from the condoms, though.

So Lil’ Wayne has one child with ex-wife, Antonia Carter, another from some random Asian women we heard about earlier this year, and two on the way that are due around the exact same time.

One big happy family, ya’ll.

You can hear the soon-to-be four time daddy (with four baby mamas) here:

Monday, October 12

MBINU ZA KUPATA KIPATO ZINAZO KERA DAR MJINI

Kila kukicha watu wanabuni namna ya kupate pesa hususani vijana wa mitaani na wale wanaojiita wa mjini. Hivi sasa vijana wamebuni njia ya kupata fedha kwa kushirikiana na ma mc ambao huwa wanaendesha shughuli za harusi. Mc huwatangazia wageni waalikwa katika sherehe wakati wa chakula kuwa kuna burudani kutoka kwa kijana wetu kutunza ni inaruhusiwa. Kutokana na hilo vijana wengi sasa wamejiingiza katika shughuli ya sarakasi kiasi kwamba wakati mwengine huleta usumbufu kwa wanaharusi na wageni waaalikwa. picha zikimwonyesha kijana anavyochezea moto unafikiri yupo katika mashindano ya dansi kumbe hapo ni harusini. Huu ni ukumbi wa Mamngo Garden.


Ajira ndio imeshatengenezwa hivi.

Sarakasi ndo hivi?
RAISI J K WA TZ ALIVYOTEMBELEA WAATHIRIKA WA MBAGALA WA MABOMU HOSPITALINI

HUYU ALIKUWA BADO HAJAPATA HATA NGUVU YA KUONGEA .....

Jana ilikuwa soo, mwanangu hali ilikuwa vagranti sielewi kilichotokea.

Baba mi-nimeumi hapa lakini hali itakuwa shwari.

Mwanangu mabomu si mchezo sijielewi nilivyofika hospitali.





MAMBO HUKO PWANI YA MTWARA TZ

Wachuuzi wa samaki katika soko la samaki la Shangani Mtwara wakipara samaki tayari kwenda kutafuta wateja.

Dada ambaye hakupenda kutaja jina lake akimwendesha mama yake kuelekea katika hospitali ya mkoa baada ya kukosekana kwa huduma ya matibabu katika zahanati ya Mikindani ambayo iko kwenye matengenezo ya kuwa Kituo cha afya. kutoka Mikindani hadi Mkoani ni kama Masaa 2 hadi 3 kwa baiskeri,

Usafiri juu ya usafiri, baiskeli zimepandishwa ndani ya jahazi, hii mojawapo ya usafiri huko Mtwara.


Nani zaidi waendesha baiskeri wakishaindana katika barabara ya kutoka mtwara hadi lindi ,haya ndo maisha ya wakazi wa Mtwara.