I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Friday, May 14

Sean kingstone atinga ndani ya studio za Clouds FM

Sean Kingstone akifanya mahojiano mafupi ndani ya redio ya Choice FM na mtangazaji ML Chriss leo jioni,hapa Mikocheni jijini Dar.
Mwanamuziki Sean Kingston na Crew yake wametinga ndani ya studio za Clouds Fm leo jioni
Sean Kingstone akiiimba moja ya wimbo wake ndani ya studio za mjengoni Clouds Fm leo jioni
Sean Kingstone akisalamiana na Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kussaga leo jioni alipokwenda kuitembelea kampuni hiyo akiwa ameongozana na Crew yake,Sean kingstone ametua jijini Dar na kesho atakuwepo kwenye utoaji wa tuzo za Kili Music Awards ambayo ni maalum kwa wageni waalikwa tu, na Jumamosi msanii huyo ataangusha bonge la shoo pamoja na wasanii wengine wa hapa nyumbani.
Mwanamuziki Sean Kingstone akiwa ameongozana na bodi gadi wake wakiwasili Mjengoni leo jioni kwa ajili ya mahojiano mafupi