I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Sunday, May 2

Katibu mstaafu wa jumuiya ya tsah mwaka 2008/9 Bwana Abdallah Mbarok leo,amewalika wanajumuiya wote nyumbani kwake tolichowki hyderabad india kwa ajili kupata mlo wa mchana wa pamoja na kuwaaga wanajumuiya wote.Katibu mstaafu Bw.Abdallah anatarajiwa jumanne kuelekea nchi za uarabuni ambapo baadae ataelekea tanzania.Amewaomba wanajumuiya kama kuna sehemu walikwaruzana katika mda wote huo waliokuwa wakiishi kwa pamoja wasameheane kwani binadamu tumeumbwa ktk hali kukosea,akidai kuwa ''maisha ni kama mua, kuna matamu na machangu'',M/kiti wa jumuiya TSAH BW Abdillah D,NKYA alitoa shukran na kwa niaba ya viongozi wenzake walimtakia safari njema katibu mstaafu Abdallah Mbarok
BW Matata maarufu kama TATA BOY, alialikwa mualiko rasmi nyumbani kwa katibu mstaafu kwa ajili ya kumuaga katibu wao
Katibu mstaafu Bw Abdallah akiwa ABDUL AZIZ katika pics wakipata mlo wa pamoja nyumbani kwa katibu
M/KITI ABDILLAH NKYA akiwa na Bw Young junior maarufu kama (mpizo) wakiwa nyumbani kwa katibu mstaafu wakibadilishana mawazo hapo na pale .
Bw Abdul Azizi akiwana BW Merey katika pics wakizinguana kunywa juisi iliyoandaliwa rasmi kwa ajili yao
kwa kweli wageni walikuwa kuwa wengi sana
katibu mstaafu ktk pics
M/KIT TSAH AKIBADILISHANA MAWAZO NA MTOA HABARI TSAH BW DANIEL MSEMO
BWANA MPIZO NA TATABOY WAKIBADILISHANA MAWAZO
MAKAMU MSTAAFU 2008/9 BW SADALLAH MBEYU AKIWEKA SAWA MAMBO NYUMBANI KWA KATIBU MSTAAFU
WANAJUMUIYA TSAH
BAADHI YA WANAJUMUIYA WA TSAH WAKIBADILISHANA MAWAZO NA M/KITI TSAH
HAYA NDIO MAAKULI YALIYOANDALIWA NA KATIBU MSTAAFU KWA AJILI YA KUAGANA NA WANAJUMUIYA TSAH


WAGENI WAALIKWA KTK PIC
WAGENI WAALIKWA WAKIPATA MLO WA PAMOJA NYUMBANI KWA KATIBU MSTAAFU
MTOA HABARI TSAH NA BWANA KIPIRA WAKIBADILISHANA MAWAZO KTK PICS
M/KITI TSAH NA MTOA HABARI TSAH DANIEL MSEMO KTK PICS
BWANA IBRAHIMU MAARUFU KAMA IBRA DOSI, AKITETA NA BAADHI YA WAGENI WENGINE WAALIKWA
BWANA ALEX NA MUHSIN NYUMBANI KWA KATIBU
MWENYEKITI TSAH BW ABDILLAH NKYA AKITETA NA MTOA HABARI TSAH BWANA DANIEL MSEMO
BWANA KATIBU AKITETA NA MAKAMU MWENYEKITI MSTAAFU
FLAVINA CHACHA ALIALIKWA MUALIKO RASMI NYUMBANI KWA KATIBU MSTAAFU
BW TATA BOY AKIWA NA KATIBU MSTAAFU WAKIHAKIKISHA KILA KITU KINAENDA KAMA KILIVYOPANGWA
MAKAMU MWENYEKITI MSTAAFU AKIHAKIKISHA KILA KITU KINAENDA VIZURI
MWENYE FULANA NYEKUNDU NI BWANA MOHAMMED KHMIS MAARUFU KAMA URARY97 WAKIBADILSHANA MAWAZO NYUMBANI KWA KATIBU MSTAAFU
WAGENI WAALIKWA KUTOKA KUSHOTO MAKAMU MWENYEKITI MSTAAFU SADALLAH MBEYU.BW NASSIB.MTOA HABARI TSAH DANIEL MSEMO NA ALIESIMAMA BW TATA BOY WAKIBADILISHANA HABARI