I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Wednesday, October 13

Maadhimisho ya siku ya Mwl. J.k NYERERE LEO 14.OCT 2010


Mwalimu akiwa Butiama
Kaburi la Mwalimu Butiama

Mwalimu na Mama Maria enzi hizo
Mwalimu na Mama Maria walipomtembelea mama mzazi wa Julius Kambarage Nyerere

Mwalimu akiingia kanisa la St. Peters. Alikuwa mcha Mungu sana
Mwalimu na Marais Kenneth Kaunda wa Zambia,
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya na Dr Milton Obote wa Uganda
Mwalimu akimkumbatia JK baada ya kukubali matokeo ya kura za kuwa mgombea urais wa CCM Mwaka 2005 huko Dodoma
Mwalimu akiongea na Mwandishi Freddy Macha walipokutana Rio de Janeiro, Brazil

Mwalimu na Mama Maria wakiwa India nyumbani
kwa Mama Indira Gandhi na mwanae Rajiv

Mwalimu akimkaribisha Madiba Ikulu, Dar

Mwalimu akitembea kuunga mkono Azimio la Arusha kwa kutembea toka Butiama Mwalimu, Mama Maria na Mzee John Malecela wakiwa na Iddi Amin, Uganda
Mwalimu akiwa na viongozi wengine wa nchi zisizofungamana na upande wowote
Mwalimu akitaniana na Tom Mboya na viongozi wengine Kenya

Mwalimu akisalimiana na Iddi Amin Dadah wakati wa mkutano wa OAU Addis Ababa, Ethiopia

Mwalimu na Mzee Malecela katika mkutano wa OAU ambapo Iddi Amini alikuwa akihutubia
Mwalimu akicheza bao na wazee wa Butiama huku Rais Ali Hassan Mwinyi na Mama Maria wakishuhudia
Mwalimu na Familia



Thursday, October 7

Tangazo la uchaguzi Wa viongozi 2010/11 (TSAH)-Hyderabad India


UMOJA WA WANAFUNZI WA KITANZANIA

HYDERABAD-INDIA

(TSAH)


Kamati Maalum ya Uchaguzi wa viongozi

Tangazo la Uchanguzi Tarehe 31/10/2010


Tunapenda kuwataarifu wanafunzi wote wa Kitanzania, wanaosoma katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za kitaaluma hapa Hyderabad India, kuwa kutakuwa na uchaguzi mkuu wa viongozi wa Umoja kwa mujibu wa katiba yetu.

Wale wote wenye sifa za kuongoza jumuiya yetu, mnakaribishwa kuchukua fomu kwa wajumbe wa tume waliotajwa hapo chini.

Ratiba kamili ya zoezi zima ni kama ifuatavyo.

a. Kuchukua fomu na kuzijaza 5/09/2010 mwisho wa kurudisha ni 24/10/2010

b. Kukutana na Kamati ya uchaguzi ili kukubaliana kanuni za uchaguzi 24/10/2010

c. Kampeni na maandalizi tarehe 25/10/2010 hadi 31/10/2010

d. Tarehe ya uchaguzi ni 31/10/2010 eneo la Sainikpuri-Ukumbi mtajulishwa baadaye.

Wajumbe

Tabagi A: Mwenyekiti +918897943864 Tolichowki

Majinge, D, Mjumbe +919966954555 begin_of_the_skype_highlighting +919966954555 end_of_the_skype_highlighting Sainikpuri

Simbo, Mjumbe +919948460883 begin_of_the_skype_highlighting +919948460883 end_of_the_skype_highlighting Sainikpuri

Lipina, Mjumbe +919885186905 begin_of_the_skype_highlighting +919885186905 end_of_the_skype_highlighting Singapore city

Kulwa, K. Mjumbe +919618477357 begin_of_the_skype_highlighting +919618477357 end_of_the_skype_highlighting Alwal)

Makwinya, J: Katibu +919618477428 begin_of_the_skype_highlighting +919618477428 end_of_the_skype_highlighting Tolichowki

Tabagi, Abel

Mwenyekiti wa kamati maalum ya uchaguzi

Tuesday, October 5

Msiba Tanzania na India Hyderabad


Hayati ANTHONY ATHANAS MIHIGO 11 APRIL 1975 to 02 OCTOBER 2010 Ndugu habari ya leo kwa heshima na taadhima tunaomba kutumia nafasi hii kutangaza kifo cha mpendwa wetu Anthony Athanas Mihigo aliyejulikana zaidi kama TONNY na wenngine walimfahamu kama TONNY DRAFT, kaka wa Adolf Athanas Mihigo kilichotokea kwa ajali ya gari usiku wa Ijumaa (01/10/2010) kuamkia siku ya jumamosi huko nchini INDIA katika mji wa HYDERABARD alikokuwa akifanya shughuli zake za biashara kwa muda wa miezi miwili iliyopita.

Mipango ya kusafirisha mwili kuuleta hapa Dar Es Salaam kwa mazishi inaenda vyema kwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa jamaa zetu walioko huko wakiongozwa na mpambanaji Dougras Makongoro Bwire. Kwa wale wa Dar msiba upo nyumbani kwa baba wa marehemu eneo la sinza jirani na kituo cha mafuta cha GBP, ni wakati muafaka kufarijiana na kujuliana hali, Kwa mawasilaino na ndugu pamoja na jamaa kupata “updates” unaweza kuwasiliana na :- Adolf Mihigo 0713-767680 Tonny Kingunge 0713-552994 Salum Mpugusi 0655-281081 Dougras Makongoro +919985985853 "BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE"