I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Wednesday, October 13

Maadhimisho ya siku ya Mwl. J.k NYERERE LEO 14.OCT 2010


Mwalimu akiwa Butiama
Kaburi la Mwalimu Butiama

Mwalimu na Mama Maria enzi hizo
Mwalimu na Mama Maria walipomtembelea mama mzazi wa Julius Kambarage Nyerere

Mwalimu akiingia kanisa la St. Peters. Alikuwa mcha Mungu sana
Mwalimu na Marais Kenneth Kaunda wa Zambia,
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya na Dr Milton Obote wa Uganda
Mwalimu akimkumbatia JK baada ya kukubali matokeo ya kura za kuwa mgombea urais wa CCM Mwaka 2005 huko Dodoma
Mwalimu akiongea na Mwandishi Freddy Macha walipokutana Rio de Janeiro, Brazil

Mwalimu na Mama Maria wakiwa India nyumbani
kwa Mama Indira Gandhi na mwanae Rajiv

Mwalimu akimkaribisha Madiba Ikulu, Dar

Mwalimu akitembea kuunga mkono Azimio la Arusha kwa kutembea toka Butiama Mwalimu, Mama Maria na Mzee John Malecela wakiwa na Iddi Amin, Uganda
Mwalimu akiwa na viongozi wengine wa nchi zisizofungamana na upande wowote
Mwalimu akitaniana na Tom Mboya na viongozi wengine Kenya

Mwalimu akisalimiana na Iddi Amin Dadah wakati wa mkutano wa OAU Addis Ababa, Ethiopia

Mwalimu na Mzee Malecela katika mkutano wa OAU ambapo Iddi Amini alikuwa akihutubia
Mwalimu akicheza bao na wazee wa Butiama huku Rais Ali Hassan Mwinyi na Mama Maria wakishuhudia
Mwalimu na Familia