I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Wednesday, December 8

Siku tuliyopewa uhuru wetu Tanganyika 09.12.1961 ilikuwa mwisho wa mwaka


Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na bango
la 'Uhuru Kamili' Tisa Desemba, 1961
Meja Alexander Gwebe Nyirenda akifikisha mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro usiku wa kuamkia siku ya Uhuru ili umulike nje ya mipaka yote, uleteeeee tumaini. Meja Alexander Gwebe Nyirenda na mwenye
wa Uhuru alioupandisha Kilimanjaro.
Afande huyu ni mmoja wa mashujaa wa
Uhuru wasioimbwa (Unsung Heroes)

Mwalimu Julius Nyerere na Meja Nyirenda
wakati wa mnuso wa siku ya Uhuru.



BAADA YA UHURU WETU TUKAENDA UGANDA KUMNG'OA HUYU JAMAA..HEBU ONA ANAVYONYONYA MAISHA!!!