I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Thursday, June 3

MAXIMO AWAITA WANNE KUTOKA NJE KUIVAA BRAZIL


Maximo akizungumza na waandishi wa habari
 Kocha mkuu wa Taifa Stars amewaita wachezaji wanne wa timu hiyo ambao wanacheza soka la kulipwa nchi za nje kwa ajili ya kuwavaa wabrazil katika mechi itakayochezwa Juni 7 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.Wachezaji hao ni Nizar Khalfan, Danny Mrwanda, Mohamed Mwarami na Henry Joseph.