I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Saturday, February 12

Marehemu Nickson Membi
Jumuiya ya wanafunzi wa kigeni mjini hyderabad India (TSAH) inasikitika kutangaza kifo cha mwanafunzi mwenzao Nickson Membi kilichotokea leo alfajiri tar 13 feb.2011 maeneo ya singapore city hyderabad kwa ajali ya gari,Jumuiya ya TSAH inawaomba wanafunzi wote na ndugu na jamaa kufika kufika nyumbani kwa M/kiti kwa wamwanzamwanza sainikpuri ambapo taarifa zaidi zitatolewa kwani mwili wa marehemu unategemewa kusafirishwa kuelekea Tanzania
Tulikupenda sana lakini M/mungu amekupenda zaidi

R.I.P BRO