I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Sunday, January 2

Msiba wa mtanzania Hyderabad india

Marehemu shakir Hamdoun Al-marhubi
Marehemu alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Osmania UNIV,kilichoko hapa hyderabad,alikuwa anasoma kozi ya BCA (post graduate)
Marehemu alikutwa nyumbani kwake amefariki dunia lakini mpaka sasa taarifa za kifo chake hazijajulikana ,mwili wa marehemu umepelekwa Gandhi hospital kwa uchunguzi zaidi


Marehemu mwenye shati nyekundu akiwa na rafiki zake hapa hyderabad

Marehemu wa pili kutoka kulia enzi za uhai wake hapa akiwa uwanjani masab tank
wa tatu kutoka kushoto kwako ..akiwa kwenye sherehe ya mahafali ya wa wanafunzi tsah
Mkiti mstahafu TSAH Bw,Nkya akiwa mazishini sainikpuri
Mkiti wa kamati ya starehe TSAH mstahafu mwenye aliyevaa shati nyekundu alikuwepo kwenye mazishi na ndie aliyetayarisha hizi picha ...
Mwenye fulana nyeusi ktkt Mr Abdul Aziz ndie alikuwa mtu wake wa karibu sana
kwenye mazishi sainikpuri


Aliyesimama ni sheikh Mohammed Best akitoa mawaidha kwenye mazishi







hii ndio nyumba mazishi yalipofanyikia
kwa kweli wanafunzi walishikwa na simanzi sana


walijitokeza wanafunzi wengi sana ,kuonesha kuwa bado wanampenda ndugu yao
TULIKUPENDA SANA NDUGU YETU LAKINI MWENYEZI MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI
tunamuomba Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pepa peponi
AMIN