I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Monday, March 28

HapPy B.dAy Miss Kichunaz.....!!!!!!!

Leo ni siku ya kuzaliwa Miss Saada kassim (Kichunaz) 28,march blog hii..na kwa niaba ya ndugu zake wa karibu tolichowki na sainikpuri Hyderabad,India wote kwa pamoja tunamtakia furaha yeye na familia yke yote M/Mungu ampe afya njema ktk maisha yke na mafanikio ktk siku zake nyingine za usoni karibu Dada ye2 kwenye huu ulimwengu wenye kila sifa utakazo zihitaji

we wish u a happy b.day........

Sunday, March 27

Jinsi Wikipedia inavyomjua Babu wa Loliondo...

Mzee Ambilikile Mwasapile...ktk pozi
watu wakimiminika loliondo...

Babu akigawa dozi...
Loliondo village is situated in Ngorongoro District of Arusha Region in Northern Tanzania. Together with neighbouring Wasso village, it hosts the district offices and forms the commercial centre of Loliondo division. Loliondo is the seat of the current District Commissioner for Ngorongoro.

The ethnic make-up of the entire area was traditionally Maasai with pastoralism the main land-use, in more recent years the Chaga and Warusha ethnic groups have increased, leading to an increase in cultivation in the valley which the village occupies. There is also a significant population of Sonjo agro-pastoralists due to the Sonjo majority in areas to the east.

In this year(2011)loliondo has become the most famous place in Tanzania and the world in general, this is due to the "miracle cure" administered by Ambilikile Mwasapile a retired pastor from Lutheran churches famously known as "Babu wa Loliondo"(means:Loliondo Grandfather) . The cure is said to cure all incurable diseases such as cancer,HIV/AIDS,ulcers etc

The Other Side of the Story of Babu of Loliondo(Ambilikile Mwasapile)

curing plant that is used there is called Carissa edulis Family: Apocynaceae, it has been there since ancient time and C. edulis is found in Arabia and reaches through tropical Africa to the Transvaal, Botswana and north and northeast Namibia, in warm bushveld and scrub.

Geographic distribution Native : Botswana, Cambodia, Cameroon, Eritrea, Ethiopia, Ghana, Guinea, Japan, Kenya, Myanmar, Namibia, Nigeria, Saudi Arabia,Senegal, South Africa, Sudan, Tanzania, Thailand, Uganda, Vietnam, Yemen

Products Food: Fruits are sweet and pleasant to eat; in Ghana, they are normally added to the food of invalids as an appetizer. Vinegar can be made from them by fermentation; in Sudan and Kenya, they are made into a jam. The roots are put into water gourds to impart an agreeable taste and are added to soups and stews for the same reason. Fodder: Goats and camels in the dry parts of Sudan browse on C. edulis. Fuel: The species is a source of excellent firewood. Poison: In Kenya, a piece of the root is fixed into a hut roof as a snake repellent. Medicine: Roots contain an active ingredient, carissin, that may prove useful in the treatment of cancer. The twigs contain quebrachytol and cardioglycosides that are useful as an anthelmintic against tapeworm. In Guinea, the boiled leaves are applied as poultice to relieve toothache. Root bark is mixed with spices and used as an enema for lumbago and other pains in Ghana; root scrapings are used for glandular inflammation; ground-up roots are used as a remedy for venereal diseases, to restore virility, to treat gastric ulcers, cause abortion, and as an expectorant. An infusion of roots along with other medicinal plants is used for treating chest pains, and a root decoction is also used for treating malaria.It has also Antiviral effect very successful in treating Herpes simplex virus and other several viral infections.

bofya hapa ..ingia wikipedia

http://en.wikipedia.org/wiki/Loliondo


Saturday, March 19

Professor J...kuwarusha mashabiki wake leo tar 20 march 11..Alankrita club mjini Hyderabad...india

Professor Jay leo anatumbuiza viwanja vya Alankrita mjini hyderabad india,huku akiwataka mashabiki wake wajitokeze kwa wingi kwani amewaandalia show bab kubwa....''..


Friday, March 18

HapPy B.dAy Mr .Mark Raju

2day 19.march Mr raju was born,this blog and all his classmate LLB(5YDC) O.U Hyderabad india,we wish him health,happiness,success of his life,long life to come and love on this special day and always...
happy b.day buddy and hav fun!!!

burudika na bongo fleva..

Monday, March 14

HaPpY biRtHdAy Dr.Ali Hilal Vuai...


Leo ni siku ya kuzaliwa Dr Ali Hilal Vuai 14.march,blog hii..na kwa niaba ya ndugu zake wa karibu Tarnaka,tolichowki na sainikpuri Hyderabad,India wote kwa pamoja tunamtakia furaha yeye na familia yke yote M/Mungu ampe afya njema ktk maisha yke na mafanikio ktk siku zake nyingine za usoni karibu Dr, kwenye huu ulimwengu wa papa na nyangumi utaupenda tu una kila sifa utakazo zihitaji...
we wish u a happy b.day........

Sunday, March 13

Friday, March 11

Enjoy ur wikiend.....

Saturday, March 5

Dogo janja akatwa mitama na mwalimu wake....


wiki iliyopita msanii mdogo kuliko wote Bongo, Abdul Azizi (Dogo janja) alipokea kipigo cha ngumi mateke pamoja na mtama kutoka kwa mwalimu wake wa shule aliyopo (Makongo high school).kwa maelezo ya dogo janja ni kuwa alikuwa akiongea na wanafunzi wenzake kabla ya kuskia mtu akimuita "Dogo Jinga mjoo hapa" kumtizama akaona ni mtu tu asieyenamuonekano wa uwalimu amevaa mlegezo ndipo akamjibu "Kubwa jinga nakuja" ndipo mwalim huyo alipomsubiri wakati wa paredi na kumfanyia mbaya.

MSIKILIZE ANAVYOCHAPA KWA ULIMI HAPA