I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Tuesday, July 27

Sunday, July 25

Monday, July 19

Lil Wayne Owes $1 Million In Taxes

Lil wyne's family
Lil Wayne will have to settle a $1.13 million tax bill when he gets out of jail, it’s claimed.
The Detroit Free Press reports that the US Internal Revenue Service have officially ordered the star to pay the amount in Florida court documents.
Weezy apparently owed tax from 2004, 2005 and 2007. He previously settled a $977,000 bill in 2008.
The Lollipop star is currently in Rikers Island prison in New York and is expected to be released in November this year.
He has been serving a year-long sentence for possession of a gun and was also recently given three years probation on drugs charges.

Phatz Featuring Gary Adams "Grown Man"

Show Out

Thursday, July 15

Wednesday, July 14

Sunday, July 11

The World Cup Trophy Streaker Falls Victim To World Class Clothesline.


Someone tried to…do something with that World Cup trophy before the game, just after it’d been handed over by Fabio Cannavaro and placed on the fancy pedestal for the world to gawk. The “streaker” (generic term) – oh, twas just Jimmy Jump – ran onto the pitch and looked to be putting a beanie on the trophy before being laid out by a World Cup-quality clothesline by security. What a @#$%ing hit.

Look at that blazer arm not only flail around to knock him down, but also do so without allowing the trophy to touch grass. Astonishing technique, really. New Golden Boot standings:

i. Paul the Octopus
ii. Security guard
iii. Diego Forlan

Did Johnny Heitinga Deserve to be Sent Off?


The Wold Cup final wasn’t a pretty game of football. But it was somewhat evenly balanced until the 109th minute when Netherlands defender Johnny Heitinga was sent off, after receiving his second yellow of the game for the above incident.

Netherlands ability to disrupt Spain’s passing left the field with Heitinga. Because it’s hard enough to contain the tiki-taka passing with 11 men. With 10? Forget about it, and seven minutes later Andres Iniesta had won the game. So it’s fair to say the result of this final was heavily influenced by Heitinga’s sending off. So it’s an important moment and worth a second look.

Definitely Heitinga’s hand is on Iniesta’s shoulder, but only very briefly and certainly not when Iniesta goes down. So was Heitinga’s sending off too harsh?

E-Cashes - She Wants The Doe

B.o.B - Camera

check out this clip Nas Damian Marley - Patience

Friday, July 9

Dr Shein ndie mteule wa CCM kugombea urais zanzibar


Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dr.Ali Mohamed Shein akiwashukuru wajumbe wa Halmashauri kuu ya taifa CCM kwa kumchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM usiku wa kuamkia leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza makamu wa Rais Dr.Ali Mohamed Shein kwa kuchaguliwa na wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa CCM kuwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika ukumbi wa White house mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo.
Mwenyekiti wa CCM ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao maalumu cha Halmashauri kuu ya taifa CCM kilichompitisha Dr.Ali Mohamed Shein kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dr.Gharib Bilal kwa kukubali matokeo ya ushindi wa Dr.Ali Mohamed Shein kuwania urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM
Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru akimpongeza Dr.Gharib Bilal kwa kukubali matokeo ya uchaguzi ambapo Dr.Ali Mohamed Shein aliibuka mshindi katika ugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma.
Dr.Mohamed Gharib Bilal akimpongeza Dr.Ali Mohamed Mohamed shei kuchaguliwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe wa halmashauri kuu ya Taifa CCM wakiwa katika kikao maalum kilichompitisha Dr.Ali Mohamed Shein kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi usiku wa kuamkia leo mjini Dodoma

HATIMAYE MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR. ALLY MOHAMED SHEIN AMEIBUKA KIDEDEA KWA KURA 117 NA KUWABWAGA WAPIZANIA WAKE DR. GHALIB BILAL NA WAZIRI KIONGOZI WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR SHAMSI VUAI NAHODHA KATIKA KINYAG'ANYIRO CHA KUWANIA KUGOMBEA URAIS KISIWANI ZANZIBAR.

DR.SHEIN ALIWASHINDA GHALIB BILAL AMBAYE AMEPATA 54 NA KUSHIKA NAFASI PILI AKIFUATIWA NA SHAMSI VUAI NAHODHA AMBAYE AMESHIKA NAFASI YA TATU KWA KUPATA KURA 33 HABARI NDO HIYO WADAU.

Tuesday, July 6

Plies - Rob Myself

Paypa Ft Jim Jones And Game

SHEREHE YA KUPATA SHAHADA MBALIMBALI YA WANAFUNZI WA KITANZANIA WASOMAO NCHINI INDIA MJINI HYDERABAD ILIYOFANYWA NA JUMUIYA YA WANAFUNZI HYDERABAD

Mgeni rasmi Prof A.v ramana Rao akipokea ua kutoka kwa mwanajumuiya tsah nchini India kulia kwa mgeni rasmi ni M/kiti wa jumuiya wanafunzi nchini india (T.S.A.H) Bw.Abdillah D.Nkya na kushoto kwa mgeni rasmi ni Mkiti wa kamati ya elimu tsah Bw.Venant Ngaiza.
Mwanajumuiya TSAH Doris akifungua shampeni katika shehere ya wahitimu...
Miss Neema Rehani akipokea cheti chake ktk sherehe ,mwanadada huyu pia alipokea cheti kingine cha muweka hazina bora tsah (MOST VALUABLE TREASURE TSAH)kilichoandaliwa na jumuiya kwa ajili ya kazi nzuri aliyoifanya ktk jumuiya ya kuhifadhi na kuelekeza mambo mbalimbali ya kifedha ktk jumuiya ikiwepo sherehe hii.
Hapa wahitimu walipata pics ya pamoja na mgeni rasmi ,walikuwa na furaha isiyo kifani
Haya ndio mazingira ambapo kuku,bata ,mbuzi na vingine vingi vinavyoliwa na binadamu vilipoliwa na wanajumuiya tsah....hongereni sana wahitimu tsah...
kwakweli mazingira yanavutia sana
Wanajumuiya tsah waki enjoy maeneo mbalimbali ndani ya bustani la Leonia Lesort
Hapa kwa mbali namwona Abdul aziz na Nassib ...wakila raha ndani ya kisima cha Leonia Resort
Hapa wanajumuiya TSAH.wakienda machinjioni kuji sevia mbuzi alioandaliwa kwa ajili yao Leonia resort
HAYA MAJI JINSI YALIVYOTULIA HATA UKIZAMA UNAPATA OXYGEN....YAANI UNAPUMUA KAMA KAWAIDA ..UNAWEZA KUZAMA MASAA 2 KAMA ALIVYOFANYA ABDUL AZIZ
WANAJUMUIYA WAKIPUNGA UPEPO KUTOKA KISIMANI LEONIA LESORT
Kijana Nassib akiwa kisimani akicheza mpira................
wanajumuiya wakila shangwe
duh!jamani wanajumuiya mmetoka bomba ile mbaya.............hii ntaichukua

wanajumuiya ktk pozi...........
Huyu na Mkiti wa kamati ya starehe tsah...hapa akiwa anatafakari jambo....
wanajumuiya hapa baada ya kupata chai ya jioni ya pamoja ....walipumzika kidogo...
Mwenye fulana ya njano ni Praygod ..ni mmojawapo waliopewa vyeti maalum vya (MULTEMEDIA TECHNOLOGY)..Vilivyotolewa na jumuiya ya TSAH...huyu pia ndio aliyedizaini vyeti vya wahitimu TSAH
Wapili kutoka kushoto kwako ni M/kiti wa bodi ya tsah Bw.Daniel Masimbus ....
Muhitimu Bw.fransis akipokea cheti chake cha kuhitimu shahada yake ya kwanza ..
kwa kweli raha sana kupata shahada.........ya kwangu cjui lini....??
Abdul aziz na Walid wakionesha vyeti vyao ktk pics.....tutakuja kupata tu nasi....
Hapa wanajumuiya wakipakua kula walivyoumbiwa na M/mungu
MH!KULENI VYA JUU NA CHINI...VIOGELEAVYO,VIPAAVYO NA VITEMBEAVYO...
WANAJUMUIYA WAKILA VINAVYOLIWA NA BINADAMU......
Muweka hazina wa sherehe ya hii ..Neema akichati na..................
Bw Simbo alipata pic ya pamoja na familia yake ...leonia resort...
Wa pili kushoto kwako ni external auditor wa jumuiya tsah alipata pic ya pamoja na ndugu zake
Kwa kweli wanajumuiya waling'aa sana..........

Wa katikati ni Mkiti wa jumuiya TSAH Bw Abdillah Nkya kushoto kwake ni Bw Khalid Said na kulia kwake ni Anwar Mohamed walipata pic ya pamoja ...
kwa kweli sherehe ilikuwa nzuri sana ..............
Wanajumuiya wakipunga upepo utokao kisimani leonia .....
Hapa wanajumuiya wakishangweka na mziki laini...........uco vunja mfupa
HAPA NDIO SHEREHE ILIPOISHIA
UONGOZI TSAH UNAWAPONGEZA WAHITIMU WOTE WALIOPATA SHAHADA 2010 ,NA UNAWAOMBEA KWA M/MUNGU AWANYOOSHEE NJIA BORA KATIKA MAISHA YENU YA BAADAE.

Monday, July 5

Polisi ajiua kwa kuupoteza msafara wa Rais Kikwete,AJIPIGA RISASI AKIWA RUMANDE

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Askofu mpya wa Kanisa la Anglikan Dayosisi ya Tarime Dr. Raphael Mwita na Askofu mkuu Valen
SAA chache tu baada ya msafara wa Rais Jakaya Kikwete, kuingia katika Kanisa a Anglikana, ili kuhudhuria sherehe za kuwekwa wakfu Askofu, askari polisi wa kike WP Suzana, amejiua kwa kujipiga risasi baada ya kuwekwa mahabusu kwa kosa la kuupoteza njia, msafara wa Rais.

Habari zilisema tukio hilo lililogeuka kuwa gumzo katika mji huo, lilitokea saa 8 mchana wa jana, katika Kituo cha Polisi Tarime, muda mfupi baada ya askari huyo kuwekwa chini ya ulinzi.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Tarime, Dk Charles Samson, alikiri kuupokea mwili wa askari huyo na kwamba alijipiga risasi upande wa kushoto wa kifua.

Kwa mujibu wa Mganga huyo, risasi hiyo ilipenya na kutokea nyuma ya bega.

"Ni kweli amejiua kwa kujipiga risasi ambayo imetokea nyuma ya bega. Kwa ufupi ni kwamba eneo hilo ni sehemu ya moyo, nimemfanyia uchunguzi wa awali na
kuthibitisha kuwa amekufa,"alisema.

Alisema taarifa kuhusu tukio hilo alizipata akiwa katika msafara wa Rais na kwamba alipokwenda kumfanyia uchunguzi marehemu, alibaini kuwa alikata roho muda mfupi,baada ya kujipiga risasi.

"Kitaalam kilichosabaisha kifo ni risasi maana nimefanya uchunguzi na kubaini, nasubiri uchunguzi mkubwa tukiwa na polisi ili tuwakabidhi maiti kwa ajili ya hatua nyingine,"alisema kwa masikitiko.

"Sijui nini kimempelekea kujiua maana huo ni uamuzi mzito sana aliochukua," alisisitiza Mganga mkuu.

Kwa upande wake, mhudumu wa chumba cha maiti katika hospitali hiyo, Samweli Malindi, alisema marehemu alifikishwa katika katika chumba hicho kwa kutumia gari la polisi.

"Walisema amejiua kwa sababu ya kuongoza vibaya msafara wa Rais na kuwekwa mahabusu," alisema.

Chanzo kimoja cha uhakika kutoka ndani ya jeshi hilo, kililiambia
gazeti hili kuwa kiini cha askari huyo kujiua ni kuwekwa mahabusu huku akitishiwa kuchukuliwa hatua kali zaidi.

Chanzo hicho kilisema msafara wa Rais ulitakiwa kuingia kwa mkuu wa wilaya, kabla ya kwenda kanisani, lakini yeye aliruhusu magari kwenda moja kwa moja na gari la Rais likielekea kwa mkuu wa wilaya, jambo lililosababisha safara ukagawanyika na baadaye kulazimika kurudi.

"Kitendo hicho kiliwachukiza viongozi na kuamuru kukamatwa na kuwekwa
mahabusu kwa askari huyo. Wakati akiwa mapokezi ghafla alichukua bunduki aina ya SMG na kujimiminia risasi tatu na kukata roho papo hapo," kilisema chanzo hicho.

Chanzo hicho kilidai kuwa askari huyo ni miongoni mwa askari polisi waliotoka chuoni hivi karibuni na kwa hiyo si mzoefu.
Chanzo hicho kilisema katika hali ya kawaida viongozi walipaswa kumsaidia kwa kutumia lugha ambayo vinginevyo isingemfanya ajisikie vibaya na kuchukua uamuzi huo. Baadhi ya wananchi wakizungumza na Mwananchi walisema hayo ni matatizo ya matumizi ya nguvu ndani ya jeshi.

Alipotakiwa kuzungumzia suala hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi katika Kanda Maalumu ya Polisi ya Tarime/Rorya, Constantine Masawe,alisema alikuwa nje ya ofisi."Niko Dar es Salaam na wala sikuwa na taarifa, amejiua kwa nini, maana sijaambiwa,"alisema.

Rais Kikwete, alikuwa amekwenda Tarime kuhudhuria kuwekwa wakfu kwa Askofu Dk Mwita Akiri.


MARADONA ''NILIJUA TU HAYA YATATOKEA'' ..LO!! SASA NTAJIFICHA WAPI??? NIMEMPA KICHWA PELE....DUH LKN POA TU ..WATANIKUMBUKA ENZI ZANGU''


ujumbe wa Wajerumani kwa Maradona......anaambiwa kwa Kijerumani hapa "KWAHERI MARADONA" magazeti ya udaku nayo ya Uingereza yamesema muda si mrefu atakuwa MARAGONER...teh teh..!!

Maradona ''i dont hav soccer appetite again..damn!!

wadau wa soka wanasema kuwa kauli ya Maradona kuwa timu yake ingeshinda kombe la dunia angetembea uchi Argentina aliitoa kwa sababu alikuwa anajua ni kitu kisichowezekana timu yake kushinda...wewe unakusema kauli hii..!!!?

.....duh..naota nini?? hebu nisimame halafu nitembee...

MNANIFATAFATA NINI???....KWANI MIMI NIMECHEZA MPIRA...MIMI JUST COACHER



Thursday, July 1

Wabunge Kenya wajiongezea mishahara.!

Bunge la Kenya

Bunge la Kenya

Wabunge nchini Kenya wameidhinisha nyongeza ya mishahara yao ambao utawafanya kuwa miongoni mwa wanasiasa wanaolipwa mishahara minono kabisa duniani.

Chini ya sheria mpya, waziri mkuu wa nchi hiyo atalipwa zaidi ya theluthi ya mwenzake wa Uingereza.

Atakuwa na kipato cha karibu zaidi ya asilimia 10 na anacholipwa Rais wa Marekani. Waandishi wanasema suala hilo limeibua hasira miongoni mwa wananchi na waandishi wa habari.

Wabunge wamepiga kura ili walipwe dola za kimarekani 44,000 kwa mwaka.

Lakini marupurupu ya ziada yanaweza kuongeza mshahara ukafikia dola 126,000 baada ya kukatwa kodi, ambalo ni ongezeko la asilimia 18.

Marupurupu hayo ni pamoja na dola 370 kwa kuhudhuria tu kikao cha bunge kwa siku.

Wastani wa mapato ya mwaka nchini Kenya ni takriban dola za kimarekani 730, huku wengi wa raia nchini humo wakiwa na kipato cha chini ya dola moja kwa siku.

Iwapo itapitishwa, sheria hiyo itaanza kutekelezwa wakati wa bunge lijalo, linalotarajiwa kuanza miaka miwili ijayo.

Mwandishi wa BBC wa Afrika Mashariki Peter Greste amesema majadiliano ya wabunge hao yalifanyika haraka kuliko ilivyo kawaida.

Mbunge mmoja alielezea nyongeza hiyo kuwa njia mojawapo ya kurudisha heshima katika siasa.

Hata hivyo, wachambuzi wanasema ni siku chache tu zilizopita benki ya dunia ilielezea bunge la Kenya kuwa ni mojawapo ya mabunge yaliyokita kwa vitendo vya ufisadi duniani.Habari zaidi ingia BBC Swahili

Sugu ajiandaa kwenda mbeya kugombea ubunge


Msanii wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama 2Proud a.k.a Mr II a.k.a Sugu akipokea fomu za kugombea ubunge katika ofisi za Chama cha CHADEMAjijini Dar leo tayari tayari kwa safari ya kwenda jimboni Mbeya
Sugu akisaini fomu zake Sugu akiwa na washkaji baada ya kukabidhiwa bendera ya CHADEMA
Sugu na washkaji wakikupa alama ya ushindi ya CHADEMA
Sugu akipata maudhui ya kichama kabla ya kuanza safari ya Mbeya