I WISH U A MARRY XMASS & HAPPY NEW YEAR 2012

click the word video above 2 watch the clips & cloz 2 back

Sunday, February 28

check out these clips

Thursday, February 18

CHIZIKA NA Tanzania - Swahili Bongo Flava



JIDE ASHINDWA KUSIMAMA



Ripoti ya uchunguzi wa Ijumaa inakwenda mbele zaidi ya ugonjwa wa Malaria ambao hivi karibuni ulimlazimu kukimbizwa kwenye hospitali daraja la kwanza Dar, Aga Khan baada ya kukumbwa na tatizo la mwili kuishiwa nguvu na kushindwa kutembea.

Ijumaa limebaini kuwa, Jide hapati muda wa kupumzika kutokana na ratiba yake kuwa ‘taiti’ hivyo kuulazimisha mwili wake kupiga mzigo bila kujali uchovu.

Aidha, kuna ‘nyiuzi’ za kidaku kuwa, kufuatia kuwa ‘taiti’ kupita maelezo akipanda majukwaani na bendi yake ya Machozi kutoa burudani, mwanamuziki huyo amekuwa akikumbwa na uchovu mkubwa kupita kiasi hivyo mwili kuwa katika hali ya kudhoofu na wakati mwingine kushindwa kusimama kwa muda mrefu.

CHILL OUT WITH THIS CLIP BY RIHANNA rude boy

Saturday, February 13

HISTORY OF VALENTINE'S DAY










Valentine's Day is a holiday that happens on February 14. It is the day of the year when lovers show their love to each other. This can be done by giving flowers, chocolates or Valentine's cards. Love notes can be given to one another. These notes are called valentines. Symbols of Valentine's Day are heart shapes, roses, and Cupid with his arrows. Valentine's Day is named for two martyred Christian saints named Valentine. Since the 15th century Valentine's pairs are formed in England. English emigrants took the Valentine's custom to the United States. After theSecond World War, US soldiers brought this festival to Europe.

Legend

In the third century after Christ, Valentine was the bishop of Terni (Italy). He performed weddings for couples who were not allowed to get married. They may not have been allowed to get married because the parents did not agree with the connection or because the bridegroom was a soldier or a slave, so the marriage was forbidden. Valentine gave to the married pairsflowers from his garden. That's why flowers play a very important role on Valentine's Day. This did not please the emperor. On February 14, 269 AD, Valentin was beheaded because of hisChristian faith. An expansion of the legend combines the day of death of Valentine with the Roman festival Lupercalia. It was the festival of the great goddess Lupa, which is the feminine word for wolf. She was the Great She-Wolf who nursed the twin babies, Romulus and Remus, who later became the founders of Rome. During the annual ceremony, the temple priestesses (lupae) wrote their names on strips of papyrus. These were picked by young men. After the lottery, the youngsters walked through the city and got the blessings of the citizens. The martyr Valentine became the patron saint of the lovers. Still in the Middle Ages, as in France or in Belgium, people were chosen by the lottery to live a year with each other and people prayed to Saint Valentin to make love potions and charms. United States and Europe In the 19th century, the custom of sending Valentine's Cards became very popular. The cards usually have pictures of hearts or flowers and contain some sort of poem, message, or code. Codes and simple messages give some people the courage to show their true feelings to the person they love. Today, some people still use mysterious codes to show their love. People can use newspapers to give a coded message to their loved one, giving other readers a view of the couples' intimacy with one another. Famous for the popularity of the celebration is the folk song called "Die Vogelhochzeit" ("The Birds' Wedding"). China In China, a holiday called Qi Xi is also called "Chinese Valentine's Day", especially by younger people. Qi Xi is traditionally held on the 7th day of the 7th month of the lunar calendar. In recent years, it has become more like Valentine's Day in other countries.

Wednesday, February 10

TSAH IMEAANDAA SAFARI YA VALENTINE ITAKAYOFANYIKA HAPA AALANKRITA RESORT

Safari itaanza saa tatu na nusu asubuhi jumapili tarehe 14th feb 2010 kuelekea Aalankrita resort, maeneo haya unayoyaona katika pics,ambapo watu watashangweka mpaka kuche.wanajumuiya wote mnakaribishwa,...vinywaji vya aina zote vitakuwepo,musik,swimming pool, lunch ya pamoja,dina na mengine mengi.........
yote hayo yanapatikana kwa mchango wa rupees 700/= tu.
Njoo ushangweke na watanzania wenzako wa hyderabad,jiliwaze na watz wenzako.

hawa ndio wakusanyaji wa michango kwa wanaoishi sainikpuri wamuone DANI ,singapuri,FLAVIANA na LISA, tolichowki MATATA NA M/KITI,nampally MUUMINI pia unaweza kuonana na watu wa kamati ya fedha tsah kama vile muweka hazina
more inf; call 9963702460 or 9703250802







Tuesday, February 9

HUYU NDIO STARLING WA MITIHANI YA FORM 1V 2009 TANZANIA IMMACULATE MOSHA: THE GENIUS GIRL!


msichana mwenye kipaji aliyeoongoza nchi nzima katika matokea ya mitihani ya kidato cha Nne 2009 Tanzania.

Monday, February 8

RAIS JAKAYA KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA MNIKULU RAJABU MOHAMMED KIANDA



Mama Salma Kikwete akimfariji Bi.Khadija Kianda mjane wa Marehemu Rajabu Kianda aliyekuwa mnikulu kufuatia kifo chake kilichotokea jumapili jijini Dar es Salaam.

akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la aliyekuwa mnikulu Bwana Rajabu Kianda aliyefariki jana jijini Dar es Salaam.Marehemu Kianda anatarajiwa kuzikwa leo (tarehe 9/2/2010) nyumbani kwao Kihurio Same Mkoa wa Kilimanjaro.


akimfariji Bi.Khadija Kianda ambaye ni mjane wa Marehemu Rajabu Kianda aliyekuwa Mnikulu ambaye alifariki dunia Jumapili jijini Dar es Salaam.Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa marehemu eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam kuifariji familia ya marehemu ambaye anatarajia kuzikwa huko Kihurio Same,Mkoani Kilimanjaro.Pembeni ni Mama wa Marehemu Bi. Mwanahawa Samuel.

MNYIKULU- Hili ni neno la kinyamwezi lilikokuwa likitumiwa wakati ule wa utawala wa kitemi, Mtemi Mirambo wa wanyamwezi alikuwa na wasaidizi wake, hawa walikuwa wakiitwa "Wanyikulu" kwani nyumba ya mtemi ilikuwa ikiitwa "IKULU" sehemu ambapo maamuzi ya vita na mipango yote ya kiutawala inafanyikia. Hivyo basi sisi wanyamwezi tulikuwa tunawaita wasaidizi wa mtemi kuwa ni "WANYIKULU" ambao walikuwa na dhamana ya kuhakikisha mambo yote ya kiutawala yanaenda kama kawaida wakisaidiwa na "MAKATIKILO"-hawa ni kama wajumbe wapeleka habari. hivyo mnikulu ni mtendaji mkuu ikulu ya rais.

MBUZI WA CHINA WANAWEZA KUPANDA MITI NA KUSHUKA KAMA BINADAMU



Mbuzi unaowaona pichani hupatikana nchini MOROCCO, inasemekana ni kawaida kuwaona mbuzi wakiwa wamepanda juu ya vichaka na miti midogo ni kwa sababu wanafuata matunda yajulikanayo kama ARGO, kutokana na kuyapenda sana matunda hayo basi mbuzi hao hudandia juu ya matawi ya vichaka ili kupata matunda hayo.

T.I AKIWA NA MCHUMBA WAKE


T.I.D, TOP IN DAR AKIWA NA MCHUMBA WAKE MARA BAADA YA KUMALIZA SHOW.HAPA KATIKA PICS WAMEKAA MKAO WA KWENDA KUSWALI KUEPUKANA NA MATATIZO MBALIMBALI YANAYOWEZA KUJETOKEZA CKU ZA USONI

ENJOY NA ZE COMEDY SHOW DAR 2 MORO




MATOKEO YA KIDATO CHA NNE TANZANIA SHULE ZA SERIKALI HOI

MATOKEO ya mtihani wa kumaliza kidato cha nne kwa mwaka 2009 yametangazwa jana na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) huku yakionyesha shule za serikali zikiendelea kufanya vibaya kwa kushindwa kuwemo kwenye shule 10 bora huku kiwango cha ufaulu kikizidi kupungua.

Aidha, matokeo ya mtihani huo uliofanyika Oktoba mwaka jana yanaonyesha kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa asilimia 11.2 kwani mwaka 2008 kilikuwa asilimia 83.69 wakati mwaka huu kikishuka hadi kufikia asilimia 72.51

Akitangaza matokeo hayo jana jijini Dar es salam kwenye ofisi za baraza hilo, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Joyce Ndalichako, alisema watahiniwa 351,152 walisajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha nne, kati yao wasichana ni 167,591 sawa na asilimia 47.73 na wavulana 183,561 sawa na asilimia 52.27 wakati mwaka 2008 watahiniwa 241,472 walisajiliwa.

Alibainisha kuwa watahiniwa 42,672 sawa na asilimia 17.85 wamefaulu katika daraja la kwanza hadi la tatu ambapo wasichana ni 13,788 sawa na asilimia 12.47 na wavulana 28,884 sawa na asilimia 22.48.

Alisema, watahiniwa waliopata daraja la nne ni 130,651 sawa na na asilimia 54.66 wakati waliopata sifuri ni 65,708 sawa na asilimi 27.49 idadi inayoonekana kuongezeka tofauti na mwaka jana.

Akizungumzia hilo, Joyce alisema kati ya shule 10 bora hakuna shule ya serikali hata moja na kueleza kwamba shule zinazoongoza ni zile za seminari na nyingine zinazomilikiwa na watu binafsi.

Katibu huyo alizitaja shule 10 bora zenye watahiniwa zaidi ya 35 kuwa ni Shule ya Wasichana Marian na St. Mary’s Junior Seminary, zote za Bagamoyo; St. James Seminary, Uru Seminary, Anwarite Girls, Maua Seminary na St. Mary Goreti, zote za Kilimanjaro; nyingine ni Don Bosco Seminary ya Iringa; St. Francis Girls ya Mbeya; na Feza Boys ya Dar es Salaam.

Aidha, alizitaja shule 10 bora zenye wanafunzi chini ya 35 kuwa ni Feza Girls; Thomas More Machrina na Hellen’s za Dar es Salaam; Mafinga Seminary na Bethelsabs Girls za Iringa; na St. Joseph-Kilocha seminary ya Kilimanjaro.

Nyingine ni Queen of Apostles Ushirombo ya Shinyanga; Dungunyi Seminary ya Singida; Rubya Seminary ya mkoani Kagera; na Sengerema Seminary ya Mwanza.

Alisema nafasi ya kwanza kwa mtahiniwa aliyefanya vizuri imekwenda kwa msichana Imaculate Mosha kutoka Marian Girls wakati mvulana bora ni Gwamaka Njobelo wa Shule ya Sekondari Mzumbe.

Hata hivyo alizitaja shule zilizoshika mkia zenye wanafunzi zaidi ya 35 kuwa ni Sekondari ya Busi na Jangalo za Dodoma; Sekondari ya Misima, Chekelei na Potwe za Tanga; Sekondari ya Milola na Mandawa za Lindi; Sekondari ya Kiwere ya Tabora; Sekondari ya Msata ya Pwani; na Sekondari ya Masanze ya Morogoro.

Sekondari nyingine zilizofanya vibaya zenye wanafunzi chini ya 35 ni Kizara ya Tanga; na Mingumbi, Nahukahuka, Marambo, Ruponda na Mpunyule zote za Lindi. Nyingine ni Songolo ya Dodoma; Dole ya Zanzibar; Ruruma ya Singida; na Viziwi Njombe ya Iringa.

Pamoja na hayo alisema jumla ya watahiniwa 410 wamefutiwa matokeo yao chini ya kifungu namba 52 cha kanuni za mitihani baada ya kubainika kwamba walifanya udanganyifu.

Aliongeza kuwa watahiniwa 184 walibainika kuwa na makaratasi yenye miandiko tofauti au kuwa na miandiko tofauti katika mtihani wa somo; watahiniwa 141 walikamatwa na wasimamizi ndani ya chumba cha mtihani wakiwa makaratasi yanayohisiwa kuwa na majibu ya somo husika.

Alisema kuwa watahiniwa 64 walibainika kuwa na mfanano usio wa kawaida wa majibu jambo ambalo si rahisi kwa wanafunzi wenye uwezo wa kufikiri tofauti.

“Jamani nawaomba wanafunzi wajitahidi kusoma kwani wakikaa kufikiri mtihani utavuja au watapewa majibu kuna hatari kubwa ya kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao au kukamatwa iwapo wataingia na majibu katika vyumba vya mitihani,” alisema Dk. Ndalichako

Aidha, alisema mwanafunzi mmoja wa Shule ya Sekondari ya Kadoto, aliandika matusi mazito katika mtihani wa Biolojia 1 kitendo ambacho ni kosa kwa mujibu wa kifungu 5 (13) cha kanuni za mitihani.

Alisema, matokeo ya watahiniwa 7,242 yamesitishwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutolipa ada hasa kwa shule za serikali.

Alisema matokeo ya wanafunzi hao yatatolewa pindi mwanafunzi atakapolipa ada ya mtihani na iwapo katika kipindi cha miaka miwili wahusika watakuwa hawajalipa Baraza la Mitihani la Taifa litafuta matokeo yao.

Hata hivyo, alisema baraza hilo limetoa onyo kali kwa vituo mbalimbali vilivyobainika kufanya udanganyifu na kuvifutia usajili vituo viwili ambavyo ni Sinza Iteba na Dar es Salaam Prime kwa kukiuka taratibu za uendeshaji wa mitihani kwa kuwa na wanafunzi wengi kuliko uwezo wake.

http://196.44.162.32/olevel.htm
http://www.necta.go.tz/html_csee209/olevel.htm

Saturday, February 6

Remember ur letter when u were kid elementary level!!!!

from girlfriend
** ROLL DOWN TOU YOU
** KISS BEFORE YOU READ
** " P D N F"--- please do no fold

Roll down to you sweetiepie Babe! Time and ability plus double capacity has forced my pen to dance automatically on this benedicted sheet of paper. Why! this miraculous thing happened is because papie I love you spontaneously and as I stand horizontal to the wall and perpendicular to the ground I only think of you, since you are a fantastic and fabulous guy. papie please Stop haranguing with the feelings in my heart because I love you more than a snake loves rat. To me each day starts by thinking of you and ends by dreaming of you. Each time I see you my metabolism suddenly stops and my peristalysis goes in reverse gear. My medular-oblandata also stops functioning. Crazy crazy ! crazy you may say but this is true. If only you knew what is going on in my encephalon you would understand. That's why I need to see you face to face with you, soon. I think I have to pen-off hear because I still haven't finished studying electrolysis and polymerization. Catch you pa- later. Sleep tight and don't let those bed bugs ever bite you coz you are too sweet a thing for them.
Yourz Ever, Sugar tapi tapi
from boyfriend
** ROLL DOWN TOU YOU
** KISS BEFORE YOU READ
** " P D N F"--- please do no fold !
My Love, My Sugar, i was exasperated with pride to have received one from you, the lungs in my body flapped with joy when i have been reading your letter. Anyway by now you have reached the realisations to why i am jotting this small letter to you, yes it is to see if you are keeping with the sands of time.How is everything on that other side of yours? Well here everything is just half lemon half sugar to makeit schweppes. How is your schooling? How are you pulling the wagons of life? I am just pulling the schooling thing like a donkey pulling a cart.My honie, i am missing you v! ery much right now, my heart is perambulating with every word that i write, if it was not for these oceans that decided to flow between us then i would get on the next bus to come and see you, but until then i know that i will not hesitate to put this blue blood on this paper and write to you. I remember that day lovie, that one sweet day as Maria Curry sanged it, you know that it is my favorites song honie, the one day that we were boarding the combies and you escorted me to my home, walking with you just brought sweet dreams to me for the rest of my life honie.If words! of love could ride a bicycle I would be competing against Diego Maradona. Anyways, i will not stop you from reading the books that give you life and education so I will stop here for today.
Please always writing to me because I am missing you like sugar misses tea. You can see my foto below
My dedications to you are : Maria Curry - One Sweet Day. Boys to Main - And of the Rod
Keep well my mop of my heart,
Yours in flesh and in blood,
Ruise Sugar Baby
P.S. Sorry about my english, I did not learn anymore

MAREHEMU IMRANI MTUI AZIKWA MAKABURI YA NJORO MOSHI

MAREHEMU IMRANI MTUI ENZI ZA UHAI WAKE





VILIO, simanzi na majonzi jana vilitawala mazishi ya Mtanzania Imran Mtui (31) aliyeuawa kikatili nchini India hivi karibuni, katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya Njoro Manispaa ya Moshi.

Hata hivyo mwili huo ulizikwa bila kichwa huku pia ukidaiwa kuwa na majeraha mengi mwilini kuanzia miguuni na kwenye paja lake karibu na kiuno huku kiwiko cha mkono wa kulia nacho kikidaiwa kunyofolewa.

Mwili huo uliwasili mjini moshi usiku wa kuamkia jana baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es salaam, ukitokea nchini India huku gharama zote za kuusafirisha zikibebwa na serikali ya Tanzania.

Akizungumza na waandishi wa habari jana kabla ya mazishi, kaka wa marehemu, Maliki Mtui, alisema kuwa wameshtushwa na kifo cha ndugu yao hasa kutokana na marehemu kutokuwa na historia ya ugomvi.

Kwa mujibu wa kaka huyo, mwili huo pia umeonekana kuwa na alama za kamba kwenye mikono yake hali ambayo inaonyesha marehemu kabla ya kuuawa alifungwa kamba ili asiweze kujitetea.

Tukio hilo la kusikitisha linadaiwa kutokea katika mji wa Bangalore nchini India ambako marehemu alikuwa tayari amehitimu masomo yake ya biashara na utawala (Business Administration) na tayari alikuwa akijiandaa kurejea nyumbani.

Kaka huyo wa marehemu aliwaambia waandishi wa habari kuwa mdogo wake huyo alipatwa na mkasa huo akiwa njiani kuelekea mjini ambako rafiki yake wa kike ambaye pia ni Mtanzania aishie visiwani Zanzibar alikuwa akisoma.

“Niliwasiliana naye siku ya tukio kabla hajapatwa na mauti haya nikamuuliza anatarajia kurudi lini nyumbani akanijibu angerudi mapema na rafiki yake alikuwa akimsubiri lakini hakuweza kutokea” alisema.

Pamoja na kuishukuru serikali ya Tanzania kugharamia kuusafirisha mwili wa marehemu mdogo wake, Mtui ameitaka pia serikali kuwathamini raia wake walioko nje ya nchi kwa kufuatilia taarifa zao pindi wanapokumbwa na matukio kama hayo ya kuuawa kwa mdogo wake.

Naye msemaji wa familia ya marehemu Mtui ambaye pia ni shekhe wa msikiti wa Majengo, Shekhe Said Khatibu alisema kuwa serikali haiwathamini raia wake walioko nje na ndiyo maana serikali haijatoa tamko rasmi kulaani mauaji hayo.

Shekhe huyo pia alisema katika kile kinachoonyesha kuwa idara za serikali zimelala, serikali imeshindwa kutuma hata mwakilishi kwenye mazishi hayo ambayo tukio lake lina utata.

Aidha, alipinga taarifa zote zilizotolewa na madaktari nchini India kwamba marehemu alifariki dunia kwa ajali ya treni na kusisitiza kuwa taarifa hizo sio za kweli.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI

Harry Potter Theme Park





Harry Potter Theme Park Opening Date, Universal Studios Orlando, Harry Potter Theme Park Pictures, Harry Potter Land, Universal Studios On Orlando, Florida is unleashing a brand new Harry Potter theme park which is sure to send fans into a frenzy. The new specially designed theme park “The Wizarding World of Harry Potter”, in honor of J.K. Rowlings’ boy wonder wizard, will open in Spring 2010 at Universal’s Islands of Adventure Theme park and is sure to promise the family plenty of fun!

The new theme park will feature an assortment of rides, shops, places to eat and other great experiences involving the world of Harry Potter as known in the popular books and films. Most importantly, The Wizarding World of Harry Potter will have plenty of rides, designed for a range of ages. Actor Daniel Radcliffe (Harry Potter) has already picked out the Dragon’s Challenge as his favorite ride, because it’s an extremely fast roller coaster.

Friday, February 5

Ruaha National Park - Tanzania

Janet Jackson Wardrobe Malfunction



Latest Updates Janet Jackson Wardrobe Malfunction Photo, Janet Jackson, Janet Jackson Super Bowl, Wardrobe Malfunction,This Superbowl weekend marks the sixth anniversary of the Janet Jackson wardrobe malfunction – or one of the most controversial, talked-about and downright amusing episodes in the history of professional sports and entertainment.

It was during the Super Bowl XXXVIII halftime show back in February 2004 that Jackson performed a medley of her singles “All for You” and “Rhythm Nation” performing alongside withJustin Timberlake.

Janet Jackson and Justin Timberlake all say they’re sorry – but none of that is deterring the federal government from looking into the Super Bowl’s too-revealing halftime show.

Wednesday, February 3

High Heels And Your Sex Drive




High Heels And Your Sex Drive, According to the study, wearing high heels tones legs and increases pelvic muscle strength. Pelvic muscles are, of course, essential to sexual performance and satisfaction.

Conducted by Italian scientist Dr. Maria Cerruto, the study looked at over 50 women, and found that those who wore shoes at a 15 degree angle from the ground (about two inches) had more relaxed muscles than women who did not wear inclined shoes.

Think of it like doing pelvic exercises, except instead of feeling goofy while you lay on your carpet and hump the air, you’re just out on the town, looking good and being fashionable.

So the next time your guy tries to protest a new hot heel purchase, remind him that you’re not the only one this benefits.

Tuesday, February 2

Aamir’s Father Dead




Latest news updates about Faisal Khan, Shahrukh Khan,Amitabh Bachchan, Aamir Khan, Junaid Khan:Aamir Khan’s father and writer-director-producer Tahir Hussain passes away early this morning due to cardiac arrest at Aamir Khan’s Bandra residence in Mumbai. He is survived with his wife, two sons and two daughters. When Hussain breathed his last, Aamir and his wife Kiran Rao was in Los Angeles. They are flying back for the funeral to be held tomorrow evening.

Tahir Hussain will be best remembered for producing films like Hum Hain Rahi Pyar Ke (1993), Zakhmee (1975), Anamika (1973) and Caravan (1973). He had also directed Aamir and Juhi Chawla starrer Tum Mere Ho in 1990.

Ray J and Mz Berry



Latest news updates aboutRay j And Mz Berry Still Together, Ray j, Mz Berry, Ray JAnd Mms Berry:Ray J And Platinum In the reality show “For the Love of Ray J” 32-years-old Mz. Berry is crowned the winner of the show. Her real name is Connie Deveaux and her face is much familiar to the Halle Berry, the famous actress. In the episode which was aired on 1st February 2010, Ray J selected his love of life as Mz. Berry. In the show the runner up was Mary Cherry. Berry was the eldest of the participants in the dating reality show. She is a divorced and she always wanted to have a long term relationship so we congratulate her for defeating 18 participants and also pray for her.

TAARIFA YA MSIBA WA MTANZANIA BANGALORE






UONGOZI WA TASABA CHINI YA RAIS FIDELIS MSOMEKELA KWA MASIKITIKO MAKUBWA UNATANGAZA MSIBA WA KAKA YETU IMRAN MTUI ULIOTOKEA USIKU WA KUAMKIA TAREHE 31 JANUARI.UONGOZI WA TASABA UKISHIRIKIANA NA MJUMBE WA UBALOZI WA TANZANIA INDIA WANAFUATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NA VIONGOZI WA TASABA NAMBA ZAO ZA SIMU +919742176980,+919663877196 NA +919538471894.MUHESHIMIWA RAIS FIDELIS AMEWAOMBA WATANZANIA KUWA WATULIVU MUDA HUU WA MSIBA NA KUSHIRIKIANA KWA PAMOJA KUHAKIKISHA TUNAMALIZA MSIBA HUU SALAMA.MSIBA HUPO KWA DADA HAKIKA
ADDRESS
3RD FLOOR
1ST MAIN
GOPALA REDDY LAYOUT
BANASWADI
BANGALORE-78
INDIA

MUNGU AILAZE ROHOYA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINA.

Kissing Leads To Sex Before Marriage, Warns Former Prostitute-Turned-Preacher!





Melbourne: A former prostitute-turned-preacher has warned young Christians against kissing or cuddling before marriage, saying that it may lead to premarital sex.

Evangelist Sy Rogers, who confessed being a transsexual and gay before, says that “kisses and cuddles” and the “good old pash” are foreplay people should abstain from if they are not married.

According to The Adelaide Advertiser, Rogers, who believes homosexuality can be “cured” with prayer, is due to give a talk at a conference at Enfield Baptist Church in Adelaide next month, reports the Herald Sun.
In a preview released recently, he asked: “So when is it time to stir up sexual desire? When you can afford to: in marriage. Control sexual desire; don”t let it control you.”
However, sexual health experts warned against such extreme form of chastity, saying that it may leave young people “more vulnerable to sexual exploitation.”

SHine SA (Sexual Health information networking & education) teacher education co-ordinator Jane Flentje said: “(Abstinence) may mean kids delay having sex a bit longer, but on the whole they don”t wait until they”re married,” she said. “When they do start having sex they”re not using contraceptives and condoms as often, and they”re not as comfortable talking to people about it.

“If kids don”t get any opportunity to learn about this stuff and explore relationships, they”re much more vulnerable to sexual exploitation.” (ANI)